ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Nakubaliana na wewe kwamba sisi pia ni jamii ya wanyamaKama Ni kujamiana hata nzi wanafanya ngono.kama Ni kuongea hata tembo wanawasiliana.kama Ni kunya hata nyani wanakunya.kama Ni kula hata wadudu wanakula.kama Ni kuwaza hata nyoka wanafikiri.
me nachoona binadamu tumewazidi UJANJA peke yake.yaani kwa mfano sisi tunaiba maziwa ya ng'ombe tunakunywa hicho ndo tulichowazidi au tunachukua asali tunatumia.yaani hamna kingine Zaidi ya UJANJA.HATA tukitolewa ulimwengu unaendelea na life linaendelea.so sisi Ni Kama vijidudu tu kwenye ulimwengu Kama unabisha bisha kwa fact.
Mim siwezi kufanya mapenzi na nduguzangu, hata kama ni mtoto wa mamdogo au shangazi, hii ndio demarcation ya kwanza ambayo ni kubwa kabisaKama Ni kujamiana hata nzi wanafanya ngono.kama Ni kuongea hata tembo wanawasiliana.kama Ni kunya hata nyani wanakunya.kama Ni kula hata wadudu wanakula.kama Ni kuwaza hata nyoka wanafikiri.
me nachoona binadamu tumewazidi UJANJA peke yake.yaani kwa mfano sisi tunaiba maziwa ya ng'ombe tunakunywa hicho ndo tulichowazidi au tunachukua asali tunatumia.yaani hamna kingine Zaidi ya UJANJA.HATA tukitolewa ulimwengu unaendelea na life linaendelea.so sisi Ni Kama vijidudu tu kwenye ulimwengu Kama unabisha bisha kwa fact.
Kwa hyo kama binadamu wa kwanza ni Adam na Hawa mwendelezo wa vizazi ulitoka wapi kama sio ndugu kupandana!? Dunia imestaarabika sasa hv hapo nyuma ilikuwa ni vurumai tupu!!!Mim siwezi kufanya mapenzi na nduguzangu, hata kama ni mtoto wa mamdogo au shangazi, hii ndio demarcation ya kwanza ambayo ni kubwa kabisa
Lakini sasa mnyama anafanya hivyo, mfano mbuzi anampnda hata mama na bibiyake etc., pili sisi tunaakili pembuzi katika maswala mbalimbali
Ambapo sasa almost binadam ana3000cc of brain thinking capacity kama sijakosea,
Sasa iweje ujifananishe na wanyama kama ng'ombe mwenye kulala kwenye mavi aloyanya.
Tuthamini thamani aliyotupa mwenyezi mungu kila wkati.
Tunaweza kuuliza maswali.Kama Ni kujamiana hata nzi wanafanya ngono.kama Ni kuongea hata tembo wanawasiliana.kama Ni kunya hata nyani wanakunya.kama Ni kula hata wadudu wanakula.kama Ni kuwaza hata nyoka wanafikiri.
me nachoona binadamu tumewazidi UJANJA peke yake.yaani kwa mfano sisi tunaiba maziwa ya ng'ombe tunakunywa hicho ndo tulichowazidi au tunachukua asali tunatumia.yaani hamna kingine Zaidi ya UJANJA.HATA tukitolewa ulimwengu unaendelea na life linaendelea.so sisi Ni Kama vijidudu tu kwenye ulimwengu Kama unabisha bisha kwa fact.