GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Muongezee nyingine Mkuu wangu.Yanga wote ni mataahira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muongezee nyingine Mkuu wangu.Yanga wote ni mataahira
"Kumekucha" usiku?Kumekucha mashetani ya kizanaki yamekupanda usiku huu
Inabidi umpe credit Edo Kumwembe kwa kutumia taarifa zake na kuzileta humu JF... mkiwa mnatumia Taarifa zangu GENTAMYCINE zenye uhakika kwa 100% basi ili kunitia Moyo na kuonyesha Uungwana muwe mnafanya Acknowledgement kwa Source / Crediting the Source lakini nasikitika huwa hamfanyi hivyo
Haya the KING OF POPOMA'SMimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
GENTAMYCINE niliyekuja na hii Taarifa Juzi Jumatatu Asubuhi ya Saa 12 na Yeye Edo Kumwembe aliyekuja nayo Jana Jumanne Saa 3 Asubuhi ni nani ndiyo kaichukua kwa Mwenzake?Inabidi umpe credit Edo Kumwembe kwa kutumia taarifa zake na kuzileta humu JF
Kama hujui Jamiiforum ni kubwa kuliko Edo kuliko media yeyote hapa ndani kwa maswala ya uchambuzi iwe ni siasa za ndani kimataifa hata michezo.....usichukulie poa this platform.., kuna watu hapa kiuhalisia maisha yao sisi wengine tunawasoma kwenye magazeti makala na kuwaangalia kwenye media hatuwezi hata pata nafasi ya kukaa nao kwa ukubwa wao ila hapa tunazodoana nao tu hahahYani mtu Edo atoe taarifa huku source yake iwe JF...itakuwa inashangaza sana
Umeibiwa content mchana kweupeMimi ( GENTAMYCINE ) baada tu ya Simba Day ( Juzi Jumatatu Alfajiri tu ) nilikuja na Taarifa hapa JamiiForums tena nikijiamini nayo kabisa nikisema kama Mchezaji Mshambuliaji wa Simba SC Mzambia Moses Phiri ataendelea Kutopangwa na Kocha Robertinho basi nitamuanika hapa hapa Kiongozi wa Simba SC mwenye Chuki nae kwakuwa tu kamnyima 10% ya Mshahara wake na Posho zake.
Cha Kushangaza Mchambuzi wa Michezo Wasafi Redio Edo Kumwembe jana ( amenukuliwa katika Mtandao wa Soka Media baada ya Kuongea Wasafi FM katika Kipindi cha Michezo cha Asubuhi ) akisema na akikirudia kile kile nilichokiandika hapa JamiiForums Juzi bila hata tu kusema Chanzo chake cha Taarifa hiyo ni huu Mtandao wa JamiiForums na Member ni Mimi GENTAMIYCINE.
Mara kwa mara nimekuwa nikiwaombeni mno Waandishi wa Habari ( wa Magazeti, Redio, Runinga na hata wa Mitandaoni ) kuwa tafadhali mkiwa mnatumia Taarifa zangu GENTAMYCINE zenye uhakika kwa 100% basi ili kunitia Moyo na kuonyesha Uungwana muwe mnafanya Acknowledgement kwa Source / Crediting the Source lakini nasikitika huwa hamfanyi hivyo na matokeo yake mkisema au mkiziandika huwa mnajifanya mmezitafuta nyie wakati kumbe mmechungulia Kwangu Mwamba wa Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi na mkatoka nazo.
Haya sasa kwa mfano kwa Usiku huu huu nimepata Taarifa moja Kali na Muhimu kutokea huko Tanga zilipo Timu Nne zinazoshiriki Ligi ya Kulazimisha ya Raia wa TFF Wallace Karia ( Karia Forced Community Shield League ) na hakuna Mwandishi yoyote wa Habari aliyoipata ila Mimi GENTAMYCINE ninayo na kwa Kunikera Kwenu huku wala siiweki Hadharani na nawasubirini nyie Wazee wa Kuniibia hapa JamiiForums muiweke kama mna huo Ubavu Kudadadeki zenu.
Hovyo kabisa....!!
ANGALIZO
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?
Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.
Nimemaliza.
Precisely.Wanatumia taarifa ya jasusi afu hawatoi credits[emoji850]
Umecheka hadi kitambi chako kinanesa hapo na ufupi huo.Mkuu yaani Nimecheka mpaka basi.
Simba walichukuwa ushauri hapa kuhusu kushusha kiingilio Simba dayAcha uongo
We kutwa unaandika ujinga hapa
Mwandishi gani a copy
Topic Closed. Thanks.Kama hujui Jamiiforum ni kubwa kuliko Edo kuliko media yeyote hapa ndani kwa maswala ya uchambuzi iwe ni siasa za ndani kimataifa hata michezo.....usichukulie poa this platform.., kuna watu hapa kiuhalisia maisha yao sisi wengine tunawasoma kwenye magazeti makala na kuwaangalia kwenye media hatuwezi hata pata nafasi ya kukaa nao kwa ukubwa wao ila hapa tunazodoana nao tu hahah
Mama yako Mzazi ameshamaliza Kuzimeza?Chizi karogwa tena, dada Genta tafadhali kameze dawa zako usikimbie dozi dada unawapa tabu wanaokuuguza