Sungura dume
JF-Expert Member
- Mar 28, 2016
- 571
- 527
Kuna wimbo mmoja nimepita sehemu katika mishe mishe zangu nikausikia.. Unaimbwa hivi. Nanukuu..
Mwambie farao nimeokoka sitorudi tena misri naenda Kanani!! Sasa nikajikuta nashtuka nikawaza kuna jirani yangu anatakiwa kwenda misri wiki hii maana ijumaa tarehe 2, amepata mwaliko sasa sijui nimwambie asiende[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie farao nimeokoka sitorudi tena misri naenda Kanani!! Sasa nikajikuta nashtuka nikawaza kuna jirani yangu anatakiwa kwenda misri wiki hii maana ijumaa tarehe 2, amepata mwaliko sasa sijui nimwambie asiende[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app