Moudy Boka
Senior Member
- Jan 14, 2012
- 103
- 32
Nauliza hv..kwani haiwezekani kumpandisha Alikiba kimziki bila kumshusha Diamond? Mbona wanigeria wapo wengi na wafanya vizuri Africa?
Nafikiri soko la music is big enough to accomodate all parts, why TZ.
Samahan lkn nauliza tu
Nauliza hv..kwani haiwezekani kumpandisha Alikiba kimziki bila kumshusha Diamond? Mbona wanigeria wapo wengi na wafanya vizuri Africa?
Nafikiri soko la music is big enough to accomodate all parts, why TZ.
Samahan lkn nauliza tu
Bila samahani, hata wewe kitendo tu cha kupoteza muda wako na kumuanzishia thread Ally Kiba ni promo tosha kabisa.
Karibu tena.
Hahahaaa, Matola wewe!!!!shoka 1 tu mbuyu chini,sidhani kama atarudi tena
Nauliza hv..kwani haiwezekani kumpandisha Alikiba kimziki bila kumshusha Diamond? Mbona wanigeria wapo wengi na wafanya vizuri Africa?
Nafikiri soko la music is big enough to accomodate all parts, why TZ.
Samahan lkn nauliza tu
Bila samahani, hata wewe kitendo tu cha kupoteza muda wako na kumuanzishia thread Ally Kiba ni promo tosha kabisa.
Karibu tena.
Ulichoandika na kilichopo kwenye mada ni maji na mafuta.
Utajibeba kudadadeki.
Inawezekana. Tatizo teamndomo hawataki Kiba ashangiliwe.
Wanaomshangilia Kiba ndio wanaosikiliza nyimbo za Diamond.
kwa Tanzania haiwezekani mwaya, ni lazima mmoja apigwe chini ndio mwingine apande, ndivyo tulivyoumbwa mwaya, VUMILIA KUWA MTANZANIA.
THE FALLING OF DANGOTE KINGDOM IS NOW
keep in watching
Mtulieeee tangu 2014 hadi 2016 hatua aliyoipiga domo ni kubwa kibakuli angechanika msambaHakuna anayemshusha domo,bali anajishusha mwenyewe kwa mambo yake!kwaani,peke yake ana hati miliki ya kung'ara!!Peke yake ashangiliwe!watu wasionyeshe hisia zao na mapenzi yao kwa mtu mwingine!!hee kumbee! Cc nifah