Moudy Boka
Senior Member
- Jan 14, 2012
- 103
- 32
Nauliza hivi, Kwani haiwezekani kumpandisha Alikiba kimziki bila kumshusha Diamond? Mbona wanigeria wapo wengi na wafanya vizuri Africa?
Nafikiri soko la music is big enough to accomodate all parts, why TZ.
Samahan lakini nauliza tu
Nafikiri soko la music is big enough to accomodate all parts, why TZ.
Samahan lakini nauliza tu