Elon Musk juzi alikuwa kwenye maombi ya Kanisa Kuu la Bikira Maria mama wa Yesu pale Paris France akiongozana na TrumpHizi drama anazofanya Makonda kweli nchi nzima tumekuwa wehu kama yeye kiasi hiki?
Yaani unafunga safari unaacha shugjuri zako za msingi kabosa za kukuza kipato chako unageukia betting! Maombi ni betting which means failure of thinking beyond ndo unageukia maombi kama mbadala wa udhaifu wako.
Lini umeshawasikia akina Elon musk eti wanapoteza mda eti wanaenda kwenye maombi.
Taifa hili tumelaaniwa kabisa au tumelogwa
Izo sio drama mkuu...ni mambo magum sana kufafanua.....masuala ya kiimani yaache tu kama yalivyo na ndio maana kuna uhuru wa kuabuduHizi drama anazofanya Makonda kweli nchi nzima tumekuwa wehu kama yeye kiasi hiki?
Yaani unafunga safari unaacha shugjuri zako za msingi kabosa za kukuza kipato chako unageukia betting! Maombi ni betting which means failure of thinking beyond ndo unageukia maombi kama mbadala wa udhaifu wako.
Lini umeshawasikia akina Elon musk eti wanapoteza mda eti wanaenda kwenye maombi.
Taifa hili tumelaaniwa kabisa au tumelogwa
pamoja na kwamba ni kweli kabisa huwa simkubali DAB, ila kumuomba Mungu ni lazima! NI LAZIMA!!!!!!Hizi drama anazofanya Makonda kweli nchi nzima tumekuwa wehu kama yeye kiasi hiki?
Yaani unafunga safari unaacha shugjuri zako za msingi kabosa za kukuza kipato chako unageukia betting! Maombi ni betting which means failure of thinking beyond ndo unageukia maombi kama mbadala wa udhaifu wako.
Lini umeshawasikia akina Elon musk eti wanapoteza mda eti wanaenda kwenye maombi.
Taifa hili tumelaaniwa kabisa au tumelogwa
Makonda ana sema Rais karogwa!Hizi drama anazofanya Makonda kweli nchi nzima tumekuwa wehu kama yeye kiasi hiki?
Yaani unafunga safari unaacha shugjuri zako za msingi kabosa za kukuza kipato chako unageukia betting! Maombi ni betting which means failure of thinking beyond ndo unageukia maombi kama mbadala wa udhaifu wako.
Lini umeshawasikia akina Elon musk eti wanapoteza mda eti wanaenda kwenye maombi.
Taifa hili tumelaaniwa kabisa au tumelogwa
Engine ya gari ikishakuwa mdebwedo tambua hiyo gari ni kimeo haifai kituHizi drama anazofanya Makonda kweli nchi nzima tumekuwa wehu kama yeye kiasi hiki?
Yaani unafunga safari unaacha shugjuri zako za msingi kabosa za kukuza kipato chako unageukia betting! Maombi ni betting which means failure of thinking beyond ndo unageukia maombi kama mbadala wa udhaifu wako.
Lini umeshawasikia akina Elon musk eti wanapoteza mda eti wanaenda kwenye maombi.
Taifa hili tumelaaniwa kabisa au tumelogwa
Hizi drama anazofanya Makonda kweli nchi nzima tumekuwa wehu kama yeye kiasi hiki?
Yaani unafunga safari unaacha shugjuri zako za msingi kabosa za kukuza kipato chako unageukia betting! Maombi ni betting which means failure of thinking beyond ndo unageukia maombi kama mbadala wa udhaifu wako.
Lini umeshawasikia akina Elon musk eti wanapoteza mda eti wanaenda kwenye maombi.
Taifa hili tumelaaniwa kabisa au tumelogwa
Wote uwezo wao mdogo.Makonda ana sema Rais karogwa!
Kwa Makonda kuongea upupu kwa level ya kitaifa, inaonyesha how shallow uongozi umefikia.Wote uwezo wao mdogo.
Matokeo yao ya form 4 pia ni sawa.