Kwani hospitali ya Mlonganzila ipo wilaya gani pamoja na ile hospitali ya Palestina?

Kwani hospitali ya Mlonganzila ipo wilaya gani pamoja na ile hospitali ya Palestina?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nauliza tu ili niwe na uhakika sehemu za kupata huduma za kiafya niwapo wilayani Ubungo.

Nijuavyo Ubungo wana miundombinu mingi sana tena ya kisasa. Pale Mburahati kuna kituo cha kisasa kabisa cha polisi kadhalika panajengwa soko la kimataifa

Stendi kuu ya mabasi ya mikoani n.k, n.k!

Maendeleo hayana vyama!
 
Ha ha Tanzania kama mtu amefufuka inawezekana akadhania ndio imeanza and before ilikua inatawala ZANU PF
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Mloganzila ipo wilaya ya kisarawe kwa upande ilipo

Kisarawe[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23] we unaishi duni ya wap? Nadhan hata haujui Mloganzila ni nin ndg[emoji23][emoji23][emoji23] unajua ni umbali gan kutoka ofisi za manispaa ya ubungo kwenda Mloganzila?
 
Haijalishi ni umbali kiasi gani upo Kati ya ofisi za manispaa ya Ubungo na Hospital ya Mloganzila,kwa ufupi upande ule tu wa barabara ni wilaya ya Kisarawe na upande mwingine ni Ubungo, kwahyo hospital iko Kisarawe
Kisarawe[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23] we unaishi duni ya wap? Nadhan hata haujui Mloganzila ni nin ndg[emoji23][emoji23][emoji23] unajua ni umbali gan kutoka ofisi za manispaa ya ubungo kwenda Mloganzila?
 
Kisarawe[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23] we unaishi duni ya wap? Nadhan hata haujui Mloganzila ni nin ndg[emoji23][emoji23][emoji23] unajua ni umbali gan kutoka ofisi za manispaa ya ubungo kwenda Mloganzila?
Huyo ni kati ya worship team .. ambao wengi wao ni mambulula.
 
Kisarawe[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23] we unaishi duni ya wap? Nadhan hata haujui Mloganzila ni nin ndg[emoji23][emoji23][emoji23] unajua ni umbali gan kutoka ofisi za manispaa ya ubungo kwenda Mloganzila?
Mbona Kama Unashangaa unapojulishwa Jambo. Kuanzia Kiluvya kwa Komba barabara ndio mpaka ukivuka upande wa kulia ni Kibamba au Ubungo ukienda kushoto ni kisarawe we pata ajali ndio utajua. Lkn mloganzila ni Ubungo bado
 
Yes! Ukiwa unatoka Kibaha kuja DSM, mara tu unapomaliza daraja (MPAKANI) kuna Kibao upande wa kulia kinasomeka KARIBU WILAYA YA KISARAWE, na huo ndio upande ilipo MLOGANZILA! Kushoto baada ya daraja ni mkoa wa DSM!
Kwahiyo upande ule na Kwembe yote ni Kisarawe?.......kweli Dsm ni ndogo sana!
 
Mloganzila ni ni tawi la Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. (Muhimbili National referral hospital)-
Inahudumia Wagonjwa wote Tanzania ingawa ipo kwenye Premises za Wilaya ya Ubungo.
Hospitali za Wilaya ni kwa ajili ya kuhudumia Wagonjwa wa Wilaya husika.
 
Mbona Kama Unashangaa unapojulishwa Jambo. Kuanzia Kiluvya kwa Komba barabara ndio mpaka ukivuka upande wa kulia ni Kibamba au Ubungo ukienda kushoto ni kisarawe we pata ajali ndio utajua. Lkn mloganzila ni Ubungo bado
Sasa niamini nini Mloganzila ni Kisarawe au Ubungo?
 
Mloganzila ni ni tawi la Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. (Muhimbili National referral hospital)-
Inahudumia Wagonjwa wote Tanzania ingawa ipo kwenye Premises za Wilaya ya Ubungo.
Hospitali za Wilaya ni kwa ajili ya kuhudumia Wagonjwa wa Wilaya husika.
Malizia kuielezea na Palestina basi!
 
Hicho kituo cha police mburahati almaarufu mloganzila
Nauliza tu ili niwe na uhakika sehemu za kupata huduma za kiafya niwapo wilayani Ubungo.

Nijuavyo Ubungo wana miundombinu mingi sana tena ya kisasa. Pale Mburahati kuna kituo cha kisasa kabisa cha polisi kadhalika panajengwa soko la kimataifa

Stendi kuu ya mabasi ya mikoani n.k, n.k!

Maendeleo hayana vyama!
 
Yes! Ukiwa unatoka Kibaha kuja DSM, mara tu unapomaliza daraja (MPAKANI) kuna Kibao upande wa kulia kinasomeka KARIBU WILAYA YA KISARAWE, na huo ndio upande ilipo MLOGANZILA! Kushoto baada ya daraja ni mkoa wa DSM!
Kwahiyo hata kituo cha daladala Mbezi mwisho ni Kisarawe?!
 
Back
Top Bottom