ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Ukimaliza kuandika nitag....
Be mdimi wipepa bangi?Amani kwenu wapendwa.
Tijivue gamba la siasa kidogo,tuweke dini pembeni kidogo,tubake wanaadamu tu. Huwezi kujiuliza huyu ni nani isipokuwa humjui huyo mtu. Katika jamii kila Nani anaweza kuwa fulani respectable wakati na mahala popote. Kijamii zaidi inatupasa kuwaheshimu tusiowajua na tunaowajua kuwa ni duni maana kesho ya mtu nani aliyeijua! Muungwana ni kitendo.
Asee ni kama ulikuwepo.Be mdimi wipepa bangi?
Wonders shall never end!Amani kwenu wapendwa.
Tijivue gamba la siasa kidogo,tuweke dini pembeni kidogo,tubake wanaadamu tu. Huwezi kujiuliza huyu ni nani isipokuwa humjui huyo mtu. Katika jamii kila Nani anaweza kuwa fulani respectable wakati na mahala popote. Kijamii zaidi inatupasa kuwaheshimu tusiowajua na tunaowajua kuwa ni duni maana kesho ya mtu nani aliyeijua! Muungwana ni kitendo.