Kwani huyu ni nani?

Kwani huyu ni nani?

ndayilagije

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2016
Posts
7,491
Reaction score
8,304
Amani kwenu wapendwa.
Tijivue gamba la siasa kidogo,tuweke dini pembeni kidogo,tubake wanaadamu tu. Huwezi kujiuliza huyu ni nani isipokuwa humjui huyo mtu. Katika jamii kila Nani anaweza kuwa fulani respectable wakati na mahala popote. Kijamii zaidi inatupasa kuwaheshimu tusiowajua na tunaowajua kuwa ni duni maana kesho ya mtu nani aliyeijua! Muungwana ni kitendo.
 
Amani kwenu wapendwa.
Tijivue gamba la siasa kidogo,tuweke dini pembeni kidogo,tubake wanaadamu tu. Huwezi kujiuliza huyu ni nani isipokuwa humjui huyo mtu. Katika jamii kila Nani anaweza kuwa fulani respectable wakati na mahala popote. Kijamii zaidi inatupasa kuwaheshimu tusiowajua na tunaowajua kuwa ni duni maana kesho ya mtu nani aliyeijua! Muungwana ni kitendo.
Be mdimi wipepa bangi?
 
Amani kwenu wapendwa.
Tijivue gamba la siasa kidogo,tuweke dini pembeni kidogo,tubake wanaadamu tu. Huwezi kujiuliza huyu ni nani isipokuwa humjui huyo mtu. Katika jamii kila Nani anaweza kuwa fulani respectable wakati na mahala popote. Kijamii zaidi inatupasa kuwaheshimu tusiowajua na tunaowajua kuwa ni duni maana kesho ya mtu nani aliyeijua! Muungwana ni kitendo.
Wonders shall never end!
 
Uskisema huna hela moja kwa moja kunamtu atakutukana? ?
 
Back
Top Bottom