Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe Ukiwa na hela unatakiwa kuwa jirani na mamlaka vinginevyo utakuwa mjingaNimekuwa nikisikia wasanii wanasifia sana kufanyia jikoni au varandani. Sasa huko sijui kuna nini ambacho kitandani hakuwezekani. Naomba majobu mliofanyia jikoni
MKuu umenena ni kama sasa hivi unaingia kwenye social network unakuta mambo ya mashoga shoga kabisaaa wanapromote wazi wazi angalia yule dogo mmoja yupo karibu na Zuchu wameona yule Agrey kawakimbia wameamua wamuinue mwingine🤨🤨Kuna roho inapandikizwa kwa makusudi kwa maneno hayo. Unashangaa ya jikoni hushangai inavyopewa airtime "mitaro" mara "kunyonyana" mara "koni" nk yote hayo ni kupandikiza roho chafu kiaina ili yale mabaya yaonekane ya kawaida kadri siku zisongavyo
Dah! So sad kwa kweliMKuu umenena ni kama sasa hivi unaingia kwenye social network unakuta mambo ya mashoga shoga kabisaaa wanapromote wazi wazi angalia yule dogo mmoja yupo karibu na Zuchu wameona yule Agrey kawakimbia wameamua wamuinue mwingine🤨🤨