dumpwa
Senior Member
- Aug 26, 2013
- 105
- 5
Mimi nashangaa lawama kibao kwa
"WALIMU"
Mbona mikoa isiyo na Chakula Maafisa KILIMO hawalaumiwi?Mbona RUSHWA imekithiri TAKUKURU hawalaumiwi? Wagonjwa kibao hufariki daily lakini MADAKTARI hawalaumiwi?
Kodi hazikusanywi ipasavyo mpaka nchi kuwa maskini lakini TRA hawalaumiwi? Je hii ni haki kweli?Walimu tumechoka lawama!
"WALIMU"
Mbona mikoa isiyo na Chakula Maafisa KILIMO hawalaumiwi?Mbona RUSHWA imekithiri TAKUKURU hawalaumiwi? Wagonjwa kibao hufariki daily lakini MADAKTARI hawalaumiwi?
Kodi hazikusanywi ipasavyo mpaka nchi kuwa maskini lakini TRA hawalaumiwi? Je hii ni haki kweli?Walimu tumechoka lawama!