Kwani kila cku lawama haziishi kwa walimu?

Kwani kila cku lawama haziishi kwa walimu?

dumpwa

Senior Member
Joined
Aug 26, 2013
Posts
105
Reaction score
5
Mimi nashangaa lawama kibao kwa
"WALIMU"
Mbona mikoa isiyo na Chakula Maafisa KILIMO hawalaumiwi?Mbona RUSHWA imekithiri TAKUKURU hawalaumiwi? Wagonjwa kibao hufariki daily lakini MADAKTARI hawalaumiwi?
Kodi hazikusanywi ipasavyo mpaka nchi kuwa maskini lakini TRA hawalaumiwi? Je hii ni haki kweli?Walimu tumechoka lawama!
 
Back
Top Bottom