Dawa ya kuuondoa Ujinga ni Kuelimisha sio kuwacheka na kuwakebehi kama unavyo Fanya!
Na ukae ukijua hata mjinga naye Anayo Haki kwenye Nchi Yake, Ambayo kitovu chake kimedondokea!
ISA. 29:24 Hao nao wakosao rohoni mwao watapata kufahamu, na hao wanung’unikao watajifunza elimu.
MIT. 4:10-13 Mwanangu, sikiliza, na kuzipokea kauli zangu; Na miaka ya maisha yako itakuwa mingi. Nimekufundisha katika njia ya hekima; Nimekuongoza katika mapito ya unyofu. Uendapo, hatua zako hazitadhiikika, Wala ukipiga mbio hutajikwaa. Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako.