Kwani Kuna ubaya kuomba urithi mapema ?

Kwani Kuna ubaya kuomba urithi mapema ?

Nina mpango wa kumchana Mzee wangu , anipe urithi wangu mapema ..

Yani nateseka kutafuta pesa, wakati mshua ana asset, ambazo nikizitumia vizuri zinaleta pesa.

Sasa kwanini nisimwambie anipe changu mapema , tumalizane ..

Urithi wa Elimu kashanipa, nataka na urithi wa asset pia ..

Kesho mapema nitampa haya maelekezo, akikahidi, nitamtapeli .
Mtu anaweza kuona masihara lakini umeandika hoja kubwa sana. Mimi mwanangu sasa hivi ndio kwanza ana miezi mitatu tu lakini tayari nipo kwenye mchakato wa kuandaa future plan yake. Nataka akifika umri wa kujitegemwa awe na sehemu ya kuanzia maisha yaani nyumba na chanzo cha kipato. Najua elimu pekee kwa ulimwengu wa sasa haitoshi
 
Nina mpango wa kumchana Mzee wangu , anipe urithi wangu mapema ..

Yani nateseka kutafuta pesa, wakati mshua ana asset, ambazo nikizitumia vizuri zinaleta pesa.

Sasa kwanini nisimwambie anipe changu mapema , tumalizane ..

Urithi wa Elimu kashanipa, nataka na urithi wa asset pia ..

Kesho mapema nitampa haya maelekezo, akikahidi, nitamtapeli .
Hakuna ubaya,je wewe umeshatoa urithi kwa watoto wako mapema?
 
Ana miaka mingapi mzee wako?
Yani mwenzio amepambana awe na vyake siku za uzee asidhalilike, ww unawaza akupe assets zake uuze!
Wewe kijana pambana
Lengo sio kuuza , nataka nifanye ziwe nyingi .

Nizitumie kama mtaji .. Sasa Mzee ana kiwanja ubungo , wewe ungefanyaje?

Unataka nikanunue kiwanja bagamoyo?
 
Kwani mzee wako hana mke (mama yako), mali huwa ni za mke na mume kama mmoja akikata moto kama hakuna wosia mwenzake anaendelea nazo mpaka upewe wewe unasubiria mzazi aliebaki akate moto ndo ije zamu yenu unless kama kuna watoto wa matumbo tofauti.

Mizee ya siku hizi hairithishi ovyo kama zamani, wanawaacha muendelee kuzitamani mali zao
 
Safi sana. Baba kukupa mali ni jukumu lake. Toka enzi na enzi wazazi walikuwa wanawapa mali za kuanzia watoto wao.

Wazazi wa siku hizi mtoto wa miaka 25 hapewi chochote kwa kisingizio amepewa elimu. Na
elimu ndio urithi.

Ukweli elimu sio urithi. Hakuna sheria ya mirathi inayotambua elimu kama urithi.

Wazazi wa zama hizi Wanajifanya wanapenda dini ila mafundisho ya dini kuhusu urithi
wanayakataa. Biblia inasema Nyumba na mali mtu atapewa na baba yake.

Hakuna walipo sema
elimu ndio urithi
Wazazi wengi siku hizi wanatumia asilimia kubwa ya vipato vyao kusomesha watoto wao, ila
wanasahau wajibu wao wa kidini hasa Wakristo kuwarithisha mali hao watoto wao.
Watoto wengi wamesoma, wamemaliza vyuo vikuu ila hawajapata ajira. Wanashinda wanazurura
tu na kulala nyumbani kutwa nzima. Sababu baba hana rasilimali za kumpa mtaji.

Elimu ni basic need kama kumpa mtoto chakula, Hivi unaweza wapa watoto chakula ati ndio
useme Urithi,
Elimu ni basic need Kwa mtu inayomsaidia kutumia Rasilimali. Mzazi unapaswa uache Urithi WA
rasilimali ambazo mtoto atazitumia kuendesha maisha yake baada ya kupewa elimu. Elimu bila
Rasilimali ni Sawa na mdomo pasipo Meno.

Baba yake Mo dewji kamsomesha Mo dewji IST na chuo kikuu kikubwa duniani.. ila baada ya
kumaliza tu chuo bado baba akaja kumpa urithi wa mali kijana wake yaani kampuni ya
Mohammed Enterprises

Tatizo la Ajira linaletwa na Wazazi wahuni.
Hujamrithisha mtoto Mali wala kumpa mtaji, sasa ataachaje kukosa Ajira
Mzee umenitia hasira, kesho mapema sana, Mzee atapokea simu yangu
 
Nina mpango wa kumchana Mzee wangu , anipe urithi wangu mapema ..

Yani nateseka kutafuta pesa, wakati mshua ana asset, ambazo nikizitumia vizuri zinaleta pesa.

Sasa kwanini nisimwambie anipe changu mapema , tumalizane ..

Urithi wa Elimu kashanipa, nataka na urithi wa asset pia ..

Kesho mapema nitampa haya maelekezo, akikahidi, nitamtapeli .
Baada ya kujazia mali zidumu na kuongezeka wewe unawaza kusepa na chako.
Ndio maana waafrika wengi mfano tanzania ukikuta kuna nyumba au mali zilizodumu kizazi mpaka kizazi unaweza kukuta ni waarabu na wahindi asilimia kubwa kwa ngozi hizi za ccm tutanunua umeme nje sana
 
Nina mpango wa kumchana Mzee wangu , anipe urithi wangu mapema ..

Yani nateseka kutafuta pesa, wakati mshua ana asset, ambazo nikizitumia vizuri zinaleta pesa.

Sasa kwanini nisimwambie anipe changu mapema , tumalizane ..

Urithi wa Elimu kashanipa, nataka na urithi wa asset pia ..

Kesho mapema nitampa haya maelekezo, akikahidi, nitamtapeli .
Mali za baba yako sio zako, tafuta za kwako.
 
Nina mpango wa kumchana Mzee wangu , anipe urithi wangu mapema ..

Yani nateseka kutafuta pesa, wakati mshua ana asset, ambazo nikizitumia vizuri zinaleta pesa.

Sasa kwanini nisimwambie anipe changu mapema , tumalizane ..

Urithi wa Elimu kashanipa, nataka na urithi wa asset pia ..

Kesho mapema nitampa haya maelekezo, akikahidi, nitamtapeli .
"Kama ilivyo kwa ufupi au urefu wa mtu, upumbavu ni kipaji pia"
 
Back
Top Bottom