Kwani lazima kuoana?

Matola piga ua mwaka huu lazima uoe, sisi kama wanafamilia wa jf tumepanga Matola kuoa lazima, umri ushaenda sana
 
Last edited by a moderator:
Very wise of you.
 
Waafrika inabidi tubadilike,
Haya masuala ya kukua kua tu kidogo na kujifanya oa inaleta ujinga tu na umasikini.
 
Heading ni nzuri imenivutia but content haijakaa vizuri. Ni kweli wabongo especially mliosoma pamoja wana tabia ya kuuliza "we ya kwako lini" hilo swali linakera sana. Utafikiri ukishaoa/olewa ndo mwisho wa matatizo ya dunia!
Halafu hao hao ukichunguza sana ndoa zao zinawaka moto. Utakuta wameoa/ olewa just bcoz umri umefika n nothing else.
 
inabidi uolewe matola, uwezo wa kuoa hauna wewe..
 

hapo kwenye bold, je hiyo ndio sbb ya kuogopa kuoa?
huwa unatumia maneno makli hata ktk maisha ya kawaida (nje ya JF). mi nina wasiwasi hata ukitaka kuoa, lugha unazotumia zaweza kukufanya usipate wa kuoa. labda naye awe wa aina hiyo

ukipata right person to marry, na mungu atamwaga baraka zake pia. kwenye matatizo mtasaidiana na mkeo, kimawazo na hata kifedha (kama naye anajishughulisha na ana kipato). oa lkn si kwa shinikizo la watu wengine, oa ukipata right gal wa kuoa na ukiona muda ni muafaka
 
Frankly speaking, tukiachilia mbali unafiki, binafsi ninachukizwa saaana nionapo jianaume lenye umri around 30 ama saa ingine over 30 years halijaoa, na kazi yake ni kubadirisha wanawake/wasichana kila siku! Jambo hili ninalichukulia kama kumomonyoka kwa maadili, ubinafsi, ukwepaji wa majukumu, kutokujielewa, na mwisho kutoujua wajibu wako katika jamii! Nina log off!
 

Ndugu yangu 98% ya wasichana waliopo kwa sasa si wa kuoa ni kujidanganya kusema kuna right gal kwa sasa
 
Ndugu yangu 98% ya wasichana waliopo kwa sasa si wa kuoa ni kujidanganya kusema kuna right gal kwa sasa

vipi khs upande wa pili? wanaume wa kuoa wapo?
nashindwa kuzielewa tu hasira alizonazo kwa hao waliomwambia aoe. hizo hasira zitamalizwa na kimwali atakayemuoa
 

Huijui ID yangu ya kike hapa MMU inavyofurika pm, kamwe huwezi kunijuwa mimi kupitia mwandiko wangu JF. Umepotea.
 
Huijui ID yangu ya kike hapa MMU inavyofurika pm, kamwe huwezi kunijuwa mimi kupitia mwandiko wangu JF. Umepotea.

nimecomment kutokana na kile ulichokiandika wewe, sio sbb nakufahamu. ndio maana niliuliza kama "huwa unatumia maneno makali hata ktk maisha yako ya kawaida nje ya JF" nikimaanisha sikujui. khs ID yako ya ke, inawezekana pia hapa umejiita me wakati ni ke.
nachokiona ni hasira zako kwa wanawake, na umeamua ku-generalize kwamba wote wapo hivyo. vipi ulishapigiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…