Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
kupembera ndo nini boss?!Wanakupembera nawewe unachukulia serious hahahaa pole sana ukitaka kujua kama anamaanisha naanachokwambia mpanulie mapaja...
asee?!Tatizo moyo
Wanakujaza ili wakutafunekupembera ndo nini boss?!
umesoma uzi vizuri lkn boss?!Wanakujaza ili wakutafune
Hee sorry nasemea huyo aliyekuletea kesi yakidume kumueleza mapungufu yamke wake au naapo utasema sijasoma uzi vzrumesoma uzi vizuri lkn boss?!
Mke ameshamzowea anamuona kama mwanae [emoji23]asee?!
kule kwa mke kuna nini labda?! mawe au?
Mi nakusii muelewe jamaa, wanaume wana factors nyingi sana hadi wakupende.umesoma uzi vizuri lkn boss?!
Aisee Mungu anawaonaYaani ipo hivi wanaume tunajua kuwasoma wanawake nakwaasilimia kubwa mwanamke ukitaka kumla inabidi umpaishe nahata kama unamke itabidi umjaze kuwa ulimuoa kwabahat mbaya nachaguo lako lilikuwa niyeye so hapo itabidi uanze kumponda mpaka mke wako ili2 lengo lako litimie lakumvua nguo ila kwaasilimia kubwa huwa niuongo ndio unatawala
Nawengine mpaka wanadondosha chozi mfano nimimi ishamwaga chozi ila lengo hasa lakumwaga chozi nilikuwa namuwazia yule mrembo alivyo kwanjee dah navuta picha akinivulia nguo tukiwa kwabed dah nikajikuta2 chozi linanitoka ila aliponipa tu mzigo duh nilimuachia vumbi silolote sichochoteMi nakusii muelewe jamaa, wanaume wana factors nyingi sana hadi wakupende.
Almost wote at first time huwa wanamani wakukule then ndiyo waangalie hizo factor kama unazo.
Gia kubwa ni kujifanya anakupenda sana na wengine huwa wanakutangazia Ndoa kabisa lakini moyoni wanataka wakukule ili waone kama yaliyomo yapo.
Itabidi atusamehe2 maana sio kwaujasiri huo aliotupaAisee Mungu anawaona
[emoji3] [emoji3] eti hadi analia ukitaka ujue kama anakupenda kweli mwambie amuache mkewe akuoe wewe ndiyo utajua kama anakupenda au anakuzingua ili akukule tu.Hata mi sielew kwakwel mpka unabak unamshangaa mtu ni mume wa mtu unamwambia sikutak analia kama mtoto sasa unajiulza hv kwa mkewe analiaga hv au what is so so special abt me ambacho kinamliza akat ana mkewe mh? Kwan ni lazma jaman ? Mh