Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,316
Umenifunza kitu hapa!Jibu: Sio lazima kupendwa, pia kupenda sio jukumu la mwanamke, mwanamke jukumu lake utii.
Vijana wa siku hizi ni wastaarabu sana, vijana wa zamani si tu kwamba walikua wanalazimisha mapenzi tu, hata kuoa walikua wanalazimisha/Kibabe.
Ukiona mwanaume ameshaoa alafu anajifanya kumponda mkewe, mara aseme alikosea kuoa n.k jua ni mbinu tu za kukushawishi utoe kitumbua hakuna kingine (ukitaka kuprove hilo mwambie akafukuze mkewe then akajitambulishe kwenu alafu akuwowe wewe kama atakubali).
Kung'ang'ania kitu fulani ili ukipate huko sio kupagawa na mapepo bali zinaitwa juhudi binafsi ambazo huzaa matokeo chanya.
Kwa kumalizia ni kwamba sio lazima KUPENDWA ila ni lazima KUPENDA.
Na iwe ivyo.Umenifunza kitu hapa!
Kwa hiyo nisipendwe? [emoji15] [emoji15] [emoji15]Na iwe ivyo.
Wewe wasema..Kwa hiyo nisipendwe? [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mmmh! Kwa hili hunitakii mema [emoji134] [emoji134] [emoji134]Wewe wasema..
Lipi tena hilo?Mmmh! Kwa hili hunitakii mema [emoji134] [emoji134] [emoji134]
La kukubali kutopendwaLipi tena hilo?
[emoji15] [emoji15]La kukubali kutopendwa
Umeshauri kuwa sio lazima kupendwa....[emoji18] [emoji18] [emoji18][emoji15] [emoji15]
Hivi kuna sehemu nimesema usipendwe?
Ndio kwa maana imeandikwa ni bora kumpenda adui yako kuliko rafiki (kuna thawabu kubwa sana ya kumpenda asiyekupenda). Ndio maana nikasema hakikisha wewe unaupendo na watu wote bila kujali wanakupenda au la.Umeshauri kuwa sio lazima kupendwa....[emoji18] [emoji18] [emoji18]
Sawa mwl.wangu wa zamani.....sasa nimekuelewa vyemaNdio kwa maana imeandikwa ni bora kumpenda adui yako kuliko rafiki (kuna thawabu kubwa sana ya kumpenda asiyekupenda). Ndio maana nikasema hakikisha wewe unaupendo na watu wote bila kujali wanakupenda au la.
Aisee, ila hapa ni sawa na kutumia muwa kama fimbo ya kutembelea kuna siku utamega kidogo kama sio kuula wote[emoji40]Sawa mwl.wangu wa zamani.....sasa nimekuelewa vyema