Kwani mahakam imezua na kesi mpya kwa zitto?

Kwani mahakam imezua na kesi mpya kwa zitto?

Nicholas

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
25,260
Reaction score
7,204
MI bado naona mahakama imebugi kiaina.CDM wana kesi nyingine za kumfukuza , kwani charge yake inasemaje.Anaweza fukuzwa kwa kesi ingine ili akishinda ya mahakama awe kafukuzwa na ingine.So akaishia jifurahisha tuu.Km mahakama imesafikisha barua kwa CDM inatwakuwa inajulikana mipaka ya mahakama.Km ni ktk mahiatka aliyopewa ni wazi CDM wanaweza mfukuza na mengine hata kwa kumpa barua nyingine ya kufika j4 asubihi.Aijitete kuwa hakuwepo CDM imuulize alikuwa wapi km kiongozi w achama bila taarifa rasmi kwa chama?
 
MI bado naona mahakama imebugi kiaiana.CDM wana kesi nyingine za kumfukuza , kwani charge yake inasemaje.Anaweza fukuzwa kwa kesi ingine ili akishinda y amahakama awe kafukuzwa na ingine.So akaishia jifurahisha tuu.
Huna unachojua unajichanganya tu lisu anazichanganya sheria anawachanya na nyie poleni.
 
Kama kuandika hoja hujui then ni haki yako kutojua kinachoendelea!
 
Sitaki kukuponda ka wachangiaji wengine wanavyofanya kwenye hayo majukwaa ya kupondana.
Ila mdau naona umefanya trespass ebu huu uzi wako peleka jukwaa la siasa otherwise edit maneno yako yakae kisheria ndio ulete huku maana hueleweki hata umeandika vitu gani
 
we jamaa lazima utakua WENJE kiswahili hujui halafu unalazimisha kuandika kiswahili
 
Huna unachojua unajichanganya tu lisu anazichanganya sheria anawachanya na nyie poleni.

mbona matusi mengi, Zitto kaweka pingamizi kutokana na mashitaka ya CDM yaliyokuwa yanasubiriwa,ila hakuna mahali imeandikwa kuwa ukiwa na kesi huwezi pata kesi ingine.Kwa hiyo mahakama haijazuia kesi nyingine dhidi yake.Sasa wapi sijui ,mbona mpo wehu sana.?
 
Sitaki kukuponda ka wachangiaji wengine wanavyofanya kwenye hayo majukwaa ya kupondana. Ila mdau naona umefanya trespass ebu huu uzi wako peleka jukwaa la siasa otherwise edit maneno yako yakae kisheria ndio ulete huku maana hueleweki hata umeandika vitu gani
Usiwe km hujui unachotaka kificha.....Mahakama imesimamisha issue fulani,ila haijamsimamisha zitto kufanya makosa mengine yanayotakiw ahukumiwa tofauti..imagine kampiga kiongozi wa CDM au kuvunja kipengele kingine kinachoweza mfukuza uanachama....mahakama itaendelea mkingia kifua kwa misingi ile ile?What if anaua ...mashiatak mengine ayatasimamishwa?Wapo watu wanafanya makosa mahakama inawapa dhamana, wanakwenda kose atena wanachapwa ndani na kutokea huko huko kuhudhuria kesi nyingine...
 
Usiwe km hujui unachotaka kificha.....Mahakama imesimamisha issue fulani,ila haijamsimamisha zitto kufanya makosa mengine yanayotakiw ahukumiwa tofauti..imagine kampiga kiongozi wa CDM au kuvunja kipengele kingine kinachoweza mfukuza uanachama....mahakama itaendelea mkingia kifua kwa misingi ile ile?What if anaua ...mashiatak mengine ayatasimamishwa?Wapo watu wanafanya makosa mahakama inawapa dhamana, wanakwenda kose atena wanachapwa ndani na kutokea huko huko kuhudhuria kesi nyingine...

Mkuu Nicholas habari yako,
Ebu kwanza jifunze kutokuendeshwa na hisia unapojadili mambo, pengine ndio maana unakosea kosea maneno yako.
Mkuu mimi sipo hapa kukuhukumu kama ulichooandika ni sawa au sio sawa mi nimejikita kwenye maudhuhi ya huu uzi wako je uko katika misingi ya kisheria, hivyo ni haki kukaa jukwa la sheria..? jibu liko wazi kabisa HAPANA mpaka dakika hii bado tu unaongea siasa mkuu hakuna chembe ya sheria katika uzi wako, kutaja maneno MAHAKAMA, SHERIA au DHAMANA sio kigezo cha kuufanya uzi huu uwe wa kisheria.
USHAURI WA BURE: uzi huu ungekuwa na mashiko sana na ungepata wachangiaji wengi endepo ungewekwa jukwa sahihi "jukwa la Hoja na Habari Mchanganyiko " au "Jukwaa la Siasa" period.
 
Zawadi ataruka ruka ila mwisho wake ni kutimua tu
 
Mkuu Nicholas habari yako, Ebu kwanza jifunze kutokuendeshwa na hisia unapojadili mambo, pengine ndio maana unakosea kosea maneno yako. Mkuu mimi sipo hapa kukuhukumu kama ulichooandika ni sawa au sio sawa mi nimejikita kwenye maudhuhi ya huu uzi wako je uko katika misingi ya kisheria, hivyo ni haki kukaa jukwa la sheria..? jibu liko wazi kabisa HAPANA mpaka dakika hii bado tu unaongea siasa mkuu hakuna chembe ya sheria katika uzi wako, kutaja maneno MAHAKAMA, SHERIA au DHAMANA sio kigezo cha kuufanya uzi huu uwe wa kisheria. USHAURI WA BURE: uzi huu ungekuwa na mashiko sana na ungepata wachangiaji wengi endepo ungewekwa jukwa sahihi "jukwa la Hoja na Habari Mchanganyiko " au "Jukwaa la Siasa" period.
Sasa km unadhani si ya kisheria kwanini jasho linakutoka hapa?Km una akili kuliko walioacha bila kuchangia mbona jasho lonakutoka?Utaongeleaje siasa ktk sheria bila kuongelea sheria? Ujuaji wa wabongo karibu ufanane na wawakenya viherehere....
 
Back
Top Bottom