Kwani marekani (USA) kuna nini cha kutishia watu wasiende?

Kwani marekani (USA) kuna nini cha kutishia watu wasiende?

Marekani kuna masikini na mafukara waliopigika na ambao hawana tumaini la kutoka kimaisha maisha yao yoote. Marekani kuna magereza mengi kuliko vyuo na taasisi za kutoa elimu. Marekani ndo nchi inayoongoza duniani watu kuuana kwa kutumia bunduki, n.k.

Kwani Marekani ni mbinguni? Au ukiingia marekani unapewa hela za bure? Au ukiingia marekani ni alama ya kufanikiwa na kutoka kimaisha? Marekani kuna nini mpaka kutishia watu "URUHUSIWI KUINGIA NCHINI MAREKANI" This is the highest level of stupidity!
UN na WORLD BANK viko huko sasa kama unataka kujitenga na dunia padharau USA uone moto wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiweka bando la usiku la TTCL ninakuwa nimefika marekani kwa msaada wa Google na Youtube.
WASITUTISHE
 
Marekani kuna masikini na mafukara waliopigika na ambao hawana tumaini la kutoka kimaisha maisha yao yoote. Marekani kuna magereza mengi kuliko vyuo na taasisi za kutoa elimu. Marekani ndo nchi inayoongoza duniani watu kuuana kwa kutumia bunduki, n.k.

Kwani Marekani ni mbinguni? Au ukiingia marekani unapewa hela za bure? Au ukiingia marekani ni alama ya kufanikiwa na kutoka kimaisha? Marekani kuna nini mpaka kutishia watu "URUHUSIWI KUINGIA NCHINI MAREKANI" This is the highest level of stupidity!
Akili za kisoda hizi kutokwenda si hoja hoja ni sababu anazotuhumiwa
 
Marekani kuna masikini na mafukara waliopigika na ambao hawana tumaini la kutoka kimaisha maisha yao yoote. Marekani kuna magereza mengi kuliko vyuo na taasisi za kutoa elimu. Marekani ndo nchi inayoongoza duniani watu kuuana kwa kutumia bunduki, n.k.

Kwani Marekani ni mbinguni? Au ukiingia marekani unapewa hela za bure? Au ukiingia marekani ni alama ya kufanikiwa na kutoka kimaisha? Marekani kuna nini mpaka kutishia watu "URUHUSIWI KUINGIA NCHINI MAREKANI" This is the highest level of stupidity!
Umeagizwa na baba ako bashite!
Swali sio kizuiliwa unajua sababu ya yeye kuzuiliwa.. message send and delivery clear ...... Na bado mtatapatapa sana ...
Usisahau word [emoji542] wamezuia dollars zao
Utauliza tena bila wao elimu haiendi.......

Haaaaaaaa mtoa mada bhana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani kuna masikini na mafukara waliopigika na ambao hawana tumaini la kutoka kimaisha maisha yao yoote. Marekani kuna magereza mengi kuliko vyuo na taasisi za kutoa elimu. Marekani ndo nchi inayoongoza duniani watu kuuana kwa kutumia bunduki, n.k.

Kwani Marekani ni mbinguni? Au ukiingia marekani unapewa hela za bure? Au ukiingia marekani ni alama ya kufanikiwa na kutoka kimaisha? Marekani kuna nini mpaka kutishia watu "URUHUSIWI KUINGIA NCHINI MAREKANI" This is the highest level of stupidity!
Hata kama Marekani ni nchi masikini kuliko zote duniani.

Kama nchi, Wamarekani wana haki ya kukubali na kukataa nani aingie nchini mwao.

Kila nchi ina haki hiyo. Si Marekani tu.

Ni hilo tu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana Kubenea
Screenshot_20200201-212750.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupiga sana puchu kuna punguza sana uwezo wa kufikiri ndio maana unakutana na mtu anaponyokwa tu hewa chafu bila kujitambua ila asante kwa kumgusa.
Mwulize Bashite alikuwa anaenda kufanya nini.Ndio ujue US ni mbinguni au sio.Inaweza isiwe mbinguni ila ni taifa kubwa.Tukicheza halitaishia hapo korosho,pamba,kahawa hawa ndio wanunuzi wakubwa duniani sasa wekeni kithembe chenu msipofikia Zimbabwe.Pia ARV za watu 2m plus wananchi kwa miaka karibu 5 iliyopita ni kwa msaada wao Sasa nyie hata hela ya uchaguzi mnajikuna kichwa.Kujenga madarasa mnakopa ndio wakiwawekea ban wote mtatangaza kwanza janga la kitaifa .Think twice usijifikirie mwenyewe we are 55m Tz opposed to few government officials wanaoharibu Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Top 100 richest man in the world Wa dunua hii 85 wote ni RAIA Wa marekani

Na maskini Wa mwisho dunian anapatikana huko huko marekan his name is scott greenworth

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani kuna masikini na mafukara waliopigika na ambao hawana tumaini la kutoka kimaisha maisha yao yoote. Marekani kuna magereza mengi kuliko vyuo na taasisi za kutoa elimu. Marekani ndo nchi inayoongoza duniani watu kuuana kwa kutumia bunduki, n.k.

Kwani Marekani ni mbinguni? Au ukiingia marekani unapewa hela za bure? Au ukiingia marekani ni alama ya kufanikiwa na kutoka kimaisha? Marekani kuna nini mpaka kutishia watu "URUHUSIWI KUINGIA NCHINI MAREKANI" This is the highest level of stupidity!
wapambe wa bashite sasa...
 
Hahaha hata wakiruhusu ni watanzania wangapi wanauwezo kwenda huko?!
Wamewazuia wenye uwezo, inatosha.
 
Mwulize Bashite alikuwa anaenda kufanya nini.Ndio ujue US ni mbinguni au sio.Inaweza isiwe mbinguni ila ni taifa kubwa.Tukicheza halitaishia hapo korosho,pamba,kahawa hawa ndio wanunuzi wakubwa duniani sasa wekeni kithembe chenu msipofikia Zimbabwe.Pia ARV za watu 2m plus wananchi kwa miaka karibu 5 iliyopita ni kwa msaada wao Sasa nyie hata hela ya uchaguzi mnajikuna kichwa.Kujenga madarasa mnakopa ndio wakiwawekea ban wote mtatangaza kwanza janga la kitaifa .Think twice usijifikirie mwenyewe we are 55m Tz opposed to few government officials wanaoharibu Tanzania
Afisa wa ngazi ya juu nchini Marekani amesema kuwa nchi hizo sita zimeshindwa kufikia "kiwango stahiki cha ulinzi na kupashana taarifa".

"Nchi hizi, kwa sehemu kubwa, zinataka kutoa msaada lakini kwa sababu mbali mbali zimefeli kufikia viwango vya chini tulivyoviweka," Naibu Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani Chad Wolf amewaambia wanahabari Ijumaa, Januari 31.

Bwana Wolf amesema maafisa wa Marekani watakuwa tayari kushirikiana na nchi hizo sita ili kuimarisha matakwa ya ulinzi kwa nchi hizo ili iwasaidie kutoka kwenye listi hiyo.
 
Marekani kuna masikini na mafukara waliopigika na ambao hawana tumaini la kutoka kimaisha maisha yao yoote. Marekani kuna magereza mengi kuliko vyuo na taasisi za kutoa elimu. Marekani ndo nchi inayoongoza duniani watu kuuana kwa kutumia bunduki, n.k.

Kwani Marekani ni mbinguni? Au ukiingia marekani unapewa hela za bure? Au ukiingia marekani ni alama ya kufanikiwa na kutoka kimaisha? Marekani kuna nini mpaka kutishia watu "URUHUSIWI KUINGIA NCHINI MAREKANI" This is the highest level of stupidity!
Mwenzio na mimba ilitungwa huko,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afisa wa ngazi ya juu nchini Marekani amesema kuwa nchi hizo sita zimeshindwa kufikia "kiwango stahiki cha ulinzi na kupashana taarifa".

"Nchi hizi, kwa sehemu kubwa, zinataka kutoa msaada lakini kwa sababu mbali mbali zimefeli kufikia viwango vya chini tulivyoviweka," Naibu Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani Chad Wolf amewaambia wanahabari Ijumaa, Januari 31.

Bwana Wolf amesema maafisa wa Marekani watakuwa tayari kushirikiana na nchi hizo sita ili kuimarisha matakwa ya ulinzi kwa nchi hizo ili iwasaidie kutoka kwenye listi hiyo.
Kweli kabisa Nigeria tayari rahisi ameona jopo la watakaohakkisha wanashirikiana na US kuondokana na hiyo ban sisi tumekalia siasa
 
Marekani kuna masikini na mafukara waliopigika na ambao hawana tumaini la kutoka kimaisha maisha yao yoote. Marekani kuna magereza mengi kuliko vyuo na taasisi za kutoa elimu. Marekani ndo nchi inayoongoza duniani watu kuuana kwa kutumia bunduki, n.k.

Kwani Marekani ni mbinguni? Au ukiingia marekani unapewa hela za bure? Au ukiingia marekani ni alama ya kufanikiwa na kutoka kimaisha? Marekani kuna nini mpaka kutishia watu "URUHUSIWI KUINGIA NCHINI MAREKANI" This is the highest level of stupidity!
Kama una ndugu/jamaa yako ana nafasi kiuchumi na akupige marufuku kufika kwake huwezi tafakari "kulikoni?"
Unaweza ishi bila yeye wala kumtegemea kwa lolote,bali "kukutenga"huoni tatizo litakuwepo?
 
Back
Top Bottom