julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 3,081
- 4,224
Mifumo hii ya cash less kwa maana ya kulipa bila kutoa hela ndio mradi wa dunia ya kisasa ila kwa hapa naona kama watu wanaikwepa chukulia tu lipa kwa namba
Wengi ukienda anakwambia sina namba hasa hasa maeneo yenye huduma za muingiliano mkubwa kama mfano Kariakoo. Wengi wanazo na wengi hawana. Hivi hadi leo kweli dunia ya sasa ulazimike uwe na hard cash all the time? Kwanini isiwe lazima kila anayefanya biashara awe na mfumo wa cashless na hii TRA na hawa providers kama kina Yas, Voda na wengine watoe ofa Bure kabisa kutengenezewa lipa namba.
FAIDA ZA CASH LESS.(KWA TANZAANIA LIPA NAMBA)
● Inaepusha na chuma ulete. hela zako zinakua salama kwako mfanyabiashara
● Kupunguza shida ya chench. lipa ina uwezo wa kulipa mpaka sent 50.
● Inaondoa kaz ya kubeba beba mahela na mifuko ya nguo kutoboka.
● Usalama wa hela.
Wenzetu China sasa hivi una scan macho tu baam umelipa huduma. kwa vile hatujaweza kufika huko. Lipa namba pia inasaidia au zile mashine za POS.
Wengi ukienda anakwambia sina namba hasa hasa maeneo yenye huduma za muingiliano mkubwa kama mfano Kariakoo. Wengi wanazo na wengi hawana. Hivi hadi leo kweli dunia ya sasa ulazimike uwe na hard cash all the time? Kwanini isiwe lazima kila anayefanya biashara awe na mfumo wa cashless na hii TRA na hawa providers kama kina Yas, Voda na wengine watoe ofa Bure kabisa kutengenezewa lipa namba.
FAIDA ZA CASH LESS.(KWA TANZAANIA LIPA NAMBA)
● Inaepusha na chuma ulete. hela zako zinakua salama kwako mfanyabiashara
● Kupunguza shida ya chench. lipa ina uwezo wa kulipa mpaka sent 50.
● Inaondoa kaz ya kubeba beba mahela na mifuko ya nguo kutoboka.
● Usalama wa hela.
Wenzetu China sasa hivi una scan macho tu baam umelipa huduma. kwa vile hatujaweza kufika huko. Lipa namba pia inasaidia au zile mashine za POS.