richie ze best
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 600
- 1,023
Wenye lugha zao wamemwelewa.Bado kinatumika sana, ingawa ni archaic.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye lugha zao wamemwelewa.Bado kinatumika sana, ingawa ni archaic.
Afu soma uelewe son wa b*tchWe bwege kwelikweli. Ukutane na mimi? Mi huwa sichukuagi watoto wa kiume fala we.
"God is Good, I bought me a helicopter today"View attachment 2321129
Kakosea wapi? Hata wamarekani wanasemaga hivyo.
Kuna lugha ambazo sio official lakini zinatumika. Hata kiswahili tunakiharibu sana lakini tunaelewana.
Mondi hajakosea.
Namna hiyo ya lugha hutumika hasa na jamii ya watu weusi nchini Marekani, Yuko sahihi kabisa.
Kawaida wazazi wakienda kwa mganga kutafuta mtoto huyo anaezaliwa huwa si mtoto kamili..una laana wewe ni mtoto wa mganga shenzi kabisa
Afu soma uelewe son wa b*tch
Hakuna povu hapo.Mmh povu lote hilo kwa sentensi ndogo tu. Meza wembe bibie ndo nshaandika haifutiki hio
Hakuna povu hapo.
Nimekuelewesha uelewe kuwa mondi hajakosea ni lugha inayotumika na inaeleweka.
Ulitakiwa utetee hoja yako kwa kuonyesha makosa ya mondi.
Kama kitu huna uhakika nacho usikosoe kwa maconfidence yote.
Sipo hapa kusutana.
Mnayo matusi mapya au ndiyo mtarudia yaleyale ya tangu mwaka 1960?Sintokujibu ..huna maadili wala huwezi fikiria huna point unatukana tu njoo wasap kuja dm nikupe namba tutukanane
Asante mtani wangu mpenziHatuangalii lugha tena, Mondi keshavuka another level hata angeandika kilugha chake
Sawa dada.Kama ni hivyo pita kuleee,nimeshaandika hivyo
Huyo dada ni mpenda ligi hapo utajisumbua bureSawa dada.
Sasa hapo mkuu majigambo yako wapi?kazidi majigambo ya kipuuzi, kuna wanamziki wakubwa sana zaidi yake lkn hawana majigambo ya kishamba kama yake.
asipo jirekebisha anaelekea pabaya, anatakiwa abadilike asikubali kushauriwa vibaya, anatakiwa atambue kuwa yeye ni staa mkubwa hivyo watu wengi wanamtizama yeye na kujifunza kutoka kwake.
😂😂Mzungu akikosea mtafungua thread!? Stupid!
When I have been surprised by mtani wangu mpenzi