Kwani mtoto chini ya mwezi mmoja huwa analia sana

Duh....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila tumbo ni gesi unatakiwa umfanyie mtoto massage ya tumbo .. mlaze kwa tumbo ila uwe makini sababu watoto wengi hufa kwa namna hii ya kulaza wanapo jigeuza na kushindwa kugeuka vizuri na kukosa pumzi
 
Mvuje ni nn wajameni[emoji50][emoji50]hua naon watoto wamefungwa vitu vyeusi mkononi au kiunoni..naomba kujua mvuje ni nn hasa kinachofungwa kwenye hivo vitambaa vyeusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…