Kwani ni lazima socks zifanane rangi? Ukivaa rangi tofauti kuna shida gani?

Kwani ni lazima socks zifanane rangi? Ukivaa rangi tofauti kuna shida gani?

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Mimi napenda kuvaa Socks, lakini tatizo kubwa ni kupata socks zinazofanana.

Ikifika asubuhi mimi navaa Socks iliyokaribu muhimu iwe safi. Sababu hamna kazi ngumu kama kutafuta Socks asubuhi huku unawahi majukumu. Ni moja ya sababu ya kuvaa Socks zisizo fanana.

Kero nayopata ni maswali ya watu hasa wakina dada, eti mbona socks hazifanani?

Sasa uhuru upo wapi? Mbona nguo za juu hazifanani na watu hawashangai?

Je, ni dhambi kuvaa Socks tofauti?

Kama Socks umekosa mwenzake bora uvae viatu bila Socks?

Au Socks nayo ni Urembo?

Ni kazi isiyo ya lazima kujifanya unatafuta Socks nusu saa ili zifanane, huna kazi za kufanya? Muhimu ziwe safi zimefuliwa

Kwanza ipo ndani ya Viatu hakuna anayeiona.

Ni njia gani naweza kufanya iniwezeshe kuvaa Socks zinazofanana? Sababu hata nizipange mbili mbili, kuna zinazobaki hazofanani. Hata siju Socks zangu zinapotelea wapi.

Mungu nisaidie.
images (10).jpeg
images (11).jpeg
 
Aahahahahhaaa looh

1. Oa au kuwa na mpenz ambaye atakuwa anakuandalia nguo za kuvaa asubuhi hii ni mpaka boksa na vesti.
Kama hutaki kiwa na mahusiano unataka kiwa bachela unaweza ajiri mfanyakazi wa kike mbibi (ili usishawishike kuanza mahusiano nae) au wa kiume anakupangia vitu vyako asubuhi ukiamka ni kuoga jikaushe paka mafuta na perfume vaa nguo hadi saa anakupangia kama unapenda saa na leso unawahi kwenye majukumu yako bila kuanza kutafuta asubuhi.

Ukiwa kazini anafua za jana na kupiga pasi ukirudi unakuta ushaandaliwa za kuvaa kesho.

Kama huwezi kumudu gharama za house keeping huna namna zaidi ya kujitoa kila weekend uandae vitu vyako vya wiki nzima. Hapa utalazimika kuwa na vifaa vya kuvaa wiki nzima yaani mashati suruali soksi leso vesti boksa tai saa n.k. Kutokana na mahitaji yako.

2. Hiyo ya kuvaa soksi mbili tofauti inaweza ikageuka fasheni na ika trend watu wakazoea na kuona kawaida. Ni maamuzi tuu kuishi utakavyo na kutojali nani anasemaje kukuhusu.

3. Nimependa hivyo viatu, kama ni vyako najitolea siku moja kuja kuvipiga brashi (kiwi/dawa) 😋

K Matata.
 
Ushajiuliza kwanini watu wanalipa pesa nyingi kwa interior designers au fashion designers?

Kwa sababu wanajua umuhimu wa mpangilio wa rangi. Mpangilio wa rangi unaweza kumfanya mtu awe na hasira au awe na furaha.

Hao wanaokuuliza wanauliza hivyo sababu unawakera na unawafanya wapate hasira kila wanapoonana na wewe. Honestly hizo picha hapo zimeniharibia siku tayari.
 
Ushajiuliza kuna ulazima wa kuvaa viatu sare yani mguu wa kulia na kushoto!?
Au ni sawa mtu kuvaa mguu wa kulia katupia buti la wajeda na mguu wa kushoto akatupia gonga nyoka mchongoko?!
Ukijibu hapo utakuwa umepata jawabu la swali lako
 
Aahahahahhaaa looh

1. Oa au kuwa na mpenz ambaye atakuwa anakuandalia nguo za kuvaa asubuhi hii ni mpaka boksa na vesti.
Kama hutaki kiwa na mahusiano unataka kiwa bachela unaweza ajiri mfanyakazi wa kike mbibi (ili usishawishike kuanza mahusiano nae) au wa kiume anakupangia vitu vyako asubuhi ukiamka ni kuoga jikaushe paka mafuta na perfume vaa nguo hadi saa anakupangia kama unapenda saa na leso unawahi kwenye majukumu yako bila kuanza kutafuta asubuhi.

Ukiwa kazini anafua za jana na kupiga pasi ukirudi unakuta ushaandaliwa za kuvaa kesho.

Kama huwezi kumudu gharama za house keeping huna namna zaidi ya kujitoa kila weekend uandae vitu vyako vya wiki nzima. Hapa utalazimika kuwa na vifaa vya kuvaa wiki nzima yaani mashati suruali soksi leso vesti boksa tai saa n.k. Kutokana na mahitaji yako.

2. Hiyo ya kuvaa soksi mbili tofauti inaweza ikageuka fasheni na ika trend watu wakazoea na kuona kawaida. Ni maamuzi tuu kuishi utakavyo na kutojali nani anasemaje kukuhusu.

3. Nimependa hivyo viatu, kama ni vyako najitolea siku moja kuja kuvipiga brashi (kiwi/dawa) [emoji39]

K Matata.
Naomba ujibu PM. Kesho J3 na inabidi ving'ae.

Nmekutumia location pls respond.

Shida yangu ni moja tu. Je, kuvaa Socks tofauti ni dhambi? Yaani watu wataona sina malezi mema mtukutu mwasherati?

Au nivae as long as sijali maneno ya watu?

Asante kwa compliment
 
Ushajiuliza kwanini watu wanalipa pesa nyingi kwa interior designers au fashion designers?

Kwa sababu wanajua umuhimu wa mpangilio wa rangi. Mpangilio wa rangi unaweza kumfanya mtu awe na hasira au awe na furaha.

Hao wanaokuuliza wanauliza hivyo sababu unawakera na unawafanya wapate hasira kila wanapoonana na wewe. Honestly hizo picha hapo zimeniharibia siku tayari.
Upo sahihi. Mimi shida ipo kwenye Socks na Chupi vitu vya ndani. Je, kuna haja ya kumechisha kwamba vifanane?
 
Ushajiuliza kuna ulazima wa kuvaa viatu sare yani mguu wa kulia na kushoto!?
Au ni sawa mtu kuvaa mguu wa kulia katupia buti la wajeda na mguu wa kushoto akatupia gonga nyoka mchongoko?!
Ukijibu hapo utakuwa umepata jawabu la swali lako
Mimi nasema vitu vinavyovaliwa ndani ya vingine mfano Chupi na Socks, kuna haja vifanane? Mfano socks zote zifanane au chupi ifanane na Suruali?
 
Wakina dada naona nao wamebadilika. Wanapanga rangi kucha kila kidole na rangi yake. Amazing.
 
Naomba ujibu PM. Kesho J3 na inabidi ving'ae.

Nmekutumia location pls respond.

Shida yangu ni moja tu. Je, kuvaa Socks tofauti ni dhambi? Yaani watu wataona sina malezi mema mtukutu mwasherati?

Au nivae as long as sijali maneno ya watu?

Asante kwa compliment

Jiandae weekend ijayo nakuja kuving’arisha.
Weekend hii nimechelewa.

Kuhusu soksi mradi zikiwa safi wee tupiamo tuu hadi utapowowa 😅
 
Kama una pesa itaonekana ni fashen,,, na kama huna pesa utaonekana kituko.

Ni sawa na ufuge Rasta wakati huna pesa,, utaambiwa umekosa pesa ya kunyoa.
Hata kufuga mandevu ukiwa huna pesa unaonekana huna nidhamu
 
Jiandae weekend ijayo nakuja kuving’arisha.
Weekend hii nimechelewa.

Kuhusu soksi mradi zikiwa safi wee tupiamo tuu hadi utapowowa 😅
Asante sana, Nlikuwa nataka hili jibu kutoka kwa watu kama wewe.

Jiandae weekend ijayo nakuja kuving’arisha.
Weekend hii nimechelewa
Hii ndo inaitwa siku ya kubarikiwa. Karibu sana
 
Back
Top Bottom