Kwani ni lazima wanawake wadeke?

kudeka raha jamanh hasa ukimpata anayejua kudekeza mana kuna wanaume wengine lol
 
wangu amezidi kupretend khaaaaaa!s ome times *nikimgombeza kdogo *kesho yake lazima 'aumwe"hata *akitaka nirudi mapema "anaumwa"NK, some times nashindwaga kujua wakati gani anakua anaumwa kweli au la,so naamua kumchunia hadi nione amezidiwa
 

we naweee! Kama anaumwa unashindwa kumuhudumia?
Sasa wiki mbili zikiisha hajapona afanyaje?
 
we naweee! Kama anaumwa unashindwa kumuhudumia?
Sasa wiki mbili zikiisha hajapona afanyaje?
wiki mbili hajapona tu!!? Tatizo tumeshawastukia kwamba nyinyi wakati mwingi mnakuwa mna- act mnaumwa kumbe hakuna kitu.
 
wiki mbili hajapona tu!!? Tatizo tumeshawastukia kwamba nyinyi wakati mwingi mnakuwa mna- act mnaumwa kumbe hakuna kitu.

kaka kuna watu wanaumwa mwaka mzima unashangaa wiki mbili.
 

Nafikiri umekariri, kama siyo fikra potofu uliyonayo kwa wanawake. Kama mtu anaumwa anahudimiwa kwa ugonjwa wake. Kudeka ndiyo nini? mifano yako haihusiani na neno KUDEKA.
 
kudeka kwa mwanamke kuna mfanya awe na mvuto hata wa kimapenzi labda huyo wa kwako hawiani na madeko anayofanya na yeye alivyo ndo maana inakuboa.Mfano kuna wasichana wana misauti ya kiume hao hawafai madeko yahusuyo sauti.
 
kudeka kwa mwanamke kuna mfanya awe na mvuto hata wa kimapenzi labda huyo wa kwako hawiani na madeko anayofanya na yeye alivyo ndo maana inakuboa.Mfano kuna wasichana wana misauti ya kiume hao hawafai madeko yahusuyo sauti.

hahahaha! Hili nalo neno.
 
Wee endekeza mawazo yako hayo yakujidanganya mwanamke kuumwa umwa ni kawaida, kumbe mwenzio, anaumwa
Kweli unadhani anadanganya.

Mwanamke kuumwa muhimu, mtu atoke job kachoka afike home kazi zina msubiri, duuh

Kati kati ya usiku aamshwe kugawa doze kwa mwenyewe, hee ye kawa nani asiume mikazi yote hiyo na kulihudumia lijitu lizima mchezo.
 
kulihudumia lijitu lizima mchezo.
Jamani msituite mijitu wenzenu!! labda kwa vile mnatuona ni mijitu ndiyo maana mnadhani kwamba bila kudeka hatuwezi kuwajali!!

Na hii ndiyo maana ya kudeka kwa mujibu wa Kamusi ya Taasisi ya Ukuzaji Kiswahili (TUKI).

Dek.a kt [sie] 1 demand attention. 2 show conceit, be arrogant. 3 hope to get something from somebody you are sure could help. (tde) dekea; (tdk) dekeka; (tds) dekeza.

Haya waswahili wenyewe tafsiri yao ya kudeka ndiyo hiyo tena!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…