Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Dunia nzima inasema Obama's half brother lkn ukija kwa Waafrika tunasema Obama's brother, ni kwa nini?
Je ni kwa sababu ya polygamy kwamba sisi jamii yetu inaruhusu polygamy?
Huyo mmoja ni mchotara (Obama) yaani Mama yake ni Mzungu na Baba yake Mwafrika mweusi kama mimi huyo mwingine Baba yake mweusi kama mimi na Mama yake pia mweusi, ndiyo maana huitwa Obama's half brother!
Je ni kwa sababu ya polygamy kwamba sisi jamii yetu inaruhusu polygamy?
Huyo mmoja ni mchotara (Obama) yaani Mama yake ni Mzungu na Baba yake Mwafrika mweusi kama mimi huyo mwingine Baba yake mweusi kama mimi na Mama yake pia mweusi, ndiyo maana huitwa Obama's half brother!