Kwani sheria inasemaje?

Kwani sheria inasemaje?

The Lastdream

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2024
Posts
1,970
Reaction score
4,616
Wakuu kwema! Kwani sheria inasemaje mtu anayejihusisha na mapenzi ya jinsia moja, Mimi najua ni kosa la jinai

Mbona mama anasema “fanyianeni wakubwa kwa wakubwa”

Lucas Embu muite Kafulila na Steven Nyerere watupe majibu




Lucas Mwashambwa kwanini mama anataka kupingana na katiba? Au alikuwa anamaanisha nini wafanyane wakubwa kwa wakubwa?
 

Attachments

  • E5A3364E-B1DF-4DA9-A5E4-A9EC38E5606B.jpeg
    E5A3364E-B1DF-4DA9-A5E4-A9EC38E5606B.jpeg
    106 KB · Views: 3
Kwamba wasagane wakubwa kwa wakubwa sio watoto?

Hujui naye ni wa kizimkazi
Yeye kasema fanyianeni wakubwa kwa wakubwa sasa tunataka watu wa sheria watuelezee je inaruhusiwa? Wakati sheria inakataza
 
"Wacheni hizo

acheni mambo hayo"

Rais Samia anaongea kama ni matroni wa bweni la shule, hajijui ni Rais wa nchi inayoendeshwa kisheria. Ukimkosoa anasema " wananilipa matusi." Hajui maana kamili ya kile kiti.

Tujifunze kuchuja watu tunaowafanya viongozi, si Mama au Baba yeyote tu kutoka popote ana uwezo wa kuwa Rais.
 
"Wacheni hizo

acheni mambo hayo"

Rais Samia anaongea kama ni matroni wa bweni la shule, hajijui ni Rais wa nchi inayoendeshwa kisheria. Ukimkosoa anasema " wananilipa matusi." Hajui maana kamili ya kile kiti.

Tujifunze kuchuja watu tunaowafanya viongozi, si Mama au Baba yeyote tu kutoka popote ana uwezo wa kuwa Rais.
mama karuhusu wakubwa kwa wakubwa
 
Back
Top Bottom