Kwani Simba SC hamuogopi Yanga hii?

Kwani Simba SC hamuogopi Yanga hii?

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
JUST IMAGINE HUKU CHAMA , HUKU PACOME HUKU AZIZ KI [emoji119][emoji119][emoji91] WANANCHi

Yanga sc wamemtambulisha mwamba wa lusaka Clatous Chota Chama kama nyota wao Mpya kuelekea msimu ujao pale Jangwani Yanga Afrika , mabingwa hao msimu uliopita walitamba na nyota wao AZIZ KI, PACOME ZOUZOUA na MAX NZINGELI kunako mstari wa mbele wa Yanga sc wameona haitoshi wamemleta nyota tegemeo wa Simba sc CLATOUS CHAMA yaani moto juu ya moto [emoji119][emoji91][emoji91]..

NB: Yaani hapa naogopa mpaka natetemeka Kila nikikitazama kikosi hiki[emoji23][emoji23]

1720101361073.jpg
 
Hakuna cha kuogopa hapo kwa hii miaka ya baadhi ya wachezaji wa utopolo

Chama (34yrs)
Aucho(33yrs)
Nzengeri(30yrs)
Pacome (31yrs)
Diara(35yrs)
Azizi (31yrs)
Dube (30yrs)
Gwede (45yrs)
UMRI ni namba tu ...harmonize, (2023)
 
Mlimtafuta tangu akiwa kwenye ubora, hatimae mmefanikiwa akiwa maji ya shingo (mtumba)...

Hongereni, nadhani kauli za mzee na hana kasi hatutozisikia tena.
 
Simba ya sasa hivi haiwezi kuogopa timu ya vibabu wa Miaka 30+

Na nikwambie tu mtani ngao ya jamii hao vibabu wenu watasahau mikongojo yao uwanjani .
Niko paleeeee, nimekaa .utakuja unisute.
 
Cabinet ya wazee kwanza muda huu wote washalala.

Kuna wachezaji wamemzidi umri hadi injinia ukiuliza vipi utaambiwa eti wana mikimbio.
 
Back
Top Bottom