Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Msimu ujao watazikimbia live posts zao.Cabinet ya wazee kwanza muda huu wote washalala.
Kuna wachezaji wamemzidi umri hadi injinia ukiuliza vipi utaambiwa eti wana mikimbio.
Yajayo yanatisha......Simba ya sasa hivi haiwezi kuogopa timu ya vibabu wa Miaka 30+
Na nikwambie tu mtani ngao ya jamii hao vibabu wenu watasahau mikongojo yao uwanjani .
Niko paleeeee, nimekaa .utakuja unisute.
Tena hizi sms za kuwa wao ni wazee Kamwe inabidi awe anawaoneshea ili msimu unaokuja wakikutana nao wale hata kumi!Hao ndio waliwakanda 5G[emoji23]
5G mliwakanda kina MangunguHao ndio waliwakanda 5G[emoji23]
Ulishaona wapi mnyama Tena mfalume wa nwituni anatishiwa na nyau kwenye gunia hahaha 🤣 nimekaa pale tukutane kwenye ngao ya jamiiJUST IMAGINE HUKU CHAMA , HUKU PACOME HUKU AZIZ KIWANANCHi
Yanga sc wamemtambulisha mwamba wa lusaka Clatous Chota Chama kama nyota wao Mpya kuelekea msimu ujao pale Jangwani Yanga Afrika , mabingwa hao msimu uliopita walitamba na nyota wao AZIZ KI, PACOME ZOUZOUA na MAX NZINGELI kunako mstari wa mbele wa Yanga sc wameona haitoshi wamemleta nyota tegemeo wa Simba sc CLATOUS CHAMA yaani moto juu ya moto..
NB: Yaani hapa naogopa mpaka natetemeka Kila nikikitazama kikosi hiki
View attachment 3033440
Nguvu moya, kocha akibolonga mbokoLabani unatakiwa uiogope simba ya msimu ujao. Nashukuru nilikuwa Yanga ila sasa hv nimeamua kujiunga na Lunyasi.
Vibabu hao waliwagonga chuma 5Simba ya sasa hivi haiwezi kuogopa timu ya vibabu wa Miaka 30+
Na nikwambie tu mtani ngao ya jamii hao vibabu wenu watasahau mikongojo yao uwanjani .
Niko paleeeee, nimekaa .utakuja unisute.
Walikutana na wazee waliochoka zaidiVibabu hao waliwagonga chuma 5
Kibabu Azizi
Kibabu max
Kibabu Pacome
Niogope nini? Kama msimu uliopita tulikua na kikosi kibovu akiwemo huyo chama ndo niogope leo? Kosi kosi...Unaandika huku unatetemeka,[emoji23]
Hapo kati kuJUST IMAGINE HUKU CHAMA , HUKU PACOME HUKU AZIZ KI [emoji119][emoji119][emoji91] WANANCHi
Yanga sc wamemtambulisha mwamba wa lusaka Clatous Chota Chama kama nyota wao Mpya kuelekea msimu ujao pale Jangwani Yanga Afrika , mabingwa hao msimu uliopita walitamba na nyota wao AZIZ KI, PACOME ZOUZOUA na MAX NZINGELI kunako mstari wa mbele wa Yanga sc wameona haitoshi wamemleta nyota tegemeo wa Simba sc CLATOUS CHAMA yaani moto juu ya moto [emoji119][emoji91][emoji91]..
NB: Yaani hapa naogopa mpaka natetemeka Kila nikikitazama kikosi hiki[emoji23][emoji23]
View attachment 3033440