Kwani tukimpongeza Ahmed Ally tunapungukiwa nini?

Kwani tukimpongeza Ahmed Ally tunapungukiwa nini?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20220418_12394178387.jpg


Yeye na timu yake kina Mwakitalima mnastahili pongezi.
Kwanza umeunganisha matawi ya Simba na umeacha kujiona boss. Pia umewafanya wanazi wa Simba kina Mwakitalima, Mzee wa Pass milioni, Aggy na wengine rundo wajione unazi wao unatambuliwa na Club.

Semaji la Robo Fainali soon litakuwa semaji la Nusu Fainali Inshaalah
 
Anastahiki pongezi kwakweli. Nimeona kuna Tawi moja la Simba kule Temeke, limepanga kumuomba namba yake ya simu ili waanze kilamtu amtumie 1,000 kama Shukrani ya upendo.

Sijui yule Zeruzeru anajiskiaje
anapambana na hali yake
 
Hamed Ally ni msomi, Manjano yeye anachojua ni mipasho na unafiki saiv anapambana na Kondakta pmja na stive nyerere
 
Ukubwa wa mechi ndio una ongeza idadi ya mashabiki siamini kama watu wanaenda uwanjani sababu ya msemaji , mbona kwenye ligi kuu hio idadi ya mashabiki inapungua huko hua mhasishaji nani?
 
Back
Top Bottom