Kwani tukimpongeza Ahmed Ally tunapungukiwa nini?

Kwani tukimpongeza Ahmed Ally tunapungukiwa nini?

Unakufuru bure, chuki zako utakufa nazo na manara wala hana habari na wajinga wajinga aina yako, yaani mnapambana na kivuli cha manara mtamuweza kweli?
Nahisi wewe ndo Manara .
Punguza unafiki broo.
Simba ni timu ya watu.

Halafu eti mnajiita wananchi. Wananchi gani wanafiki , wasaliti wa nchi , wapenda kujikomba kwa wageni , wazandiki na uchafu wa kila namna?
 
View attachment 2191709

Yeye na timu yake kina Mwakitalima mnastahili pongezi.
Kwanza umeunganisha matawi ya Simba na umeacha kujiona boss. Pia umewafanya wanazi wa Simba kina Mwakitalima, Mzee wa Pass milioni, Aggy na wengine rundo wajione unazi wao unatambuliwa na Club.

Semaji la Robo Fainali soon litakuwa semaji la Nusu Fainali Inshaalah
Umepitia page ya mzee wa mitala?
Akipost ... uuuwi mpaka utaona huruma!
Simba ilimuinua sana!😀
 
Anatoa hoja hashambulii mtu, anaunganisha team na mashabiki ila sio kibaraka wa boss na pia jamaa elimu ipo ndo maana akipiga dogo unashangaa comment za uto zinabaki kuwa "nyie subirini mechi ya marudiano mtakula mvua".
ahmed anajua sana.
 
Simba ikiingia nusu fainali huyu dogo atafanya maajabu makubwa kwa kipawa chake cha uandishi na utangazaji wa habari.
Mungu anamuinua hasaaa.
 
Bugatti alikuwa akitangaza tu redioni au kwenye TV watu wanajaa uwanjani, hako kajamaa mpaka kakakate viuno kwenye matawi ndiyo watu wajae
 
View attachment 2191709

Yeye na timu yake kina Mwakitalima mnastahili pongezi.
Kwanza umeunganisha matawi ya Simba na umeacha kujiona boss. Pia umewafanya wanazi wa Simba kina Mwakitalima, Mzee wa Pass milioni, Aggy na wengine rundo wajione unazi wao unatambuliwa na Club.

Semaji la Robo Fainali soon litakuwa semaji la Nusu Fainali Inshaalah
Kwenye swala la uvumilivu, Simba tunawajua vizuri tu. Ngoja tuwape muda.
 
Back
Top Bottom