mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Kuna jambo Manara anaweza kulifanya bila kuitaja simba?Mz
Mzimu wa manara unawasumbua Sana awa mbumbumbu, awawezi kutoa neno bila kumtaja manara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jambo Manara anaweza kulifanya bila kuitaja simba?Mz
Mzimu wa manara unawasumbua Sana awa mbumbumbu, awawezi kutoa neno bila kumtaja manara
Nahisi wewe ndo Manara .Unakufuru bure, chuki zako utakufa nazo na manara wala hana habari na wajinga wajinga aina yako, yaani mnapambana na kivuli cha manara mtamuweza kweli?
Haji alishajaribu kuaminisha watu, kupitia yeye watu ndio hujaa, imedhihirika si kweli..Ukubwa wa mechi ndio una ongeza idadi ya mashabiki siamini kama watu wanaenda uwanjani sababu ya msemaji , mbona kwenye ligi kuu hio idadi ya mashabiki inapungua huko hua mhasishaji nani?
Umepitia page ya mzee wa mitala?View attachment 2191709
Yeye na timu yake kina Mwakitalima mnastahili pongezi.
Kwanza umeunganisha matawi ya Simba na umeacha kujiona boss. Pia umewafanya wanazi wa Simba kina Mwakitalima, Mzee wa Pass milioni, Aggy na wengine rundo wajione unazi wao unatambuliwa na Club.
Semaji la Robo Fainali soon litakuwa semaji la Nusu Fainali Inshaalah
Senzo mzuka ulipanda
Watu mna maneno eti Manjano hahahhaahhahahhaahhahahahahahhahahahajajaaaajajaaajjahajajajajajajajajajajaajahahahahaaahahahahHamed Ally ni msomi, Manjano yeye anachojua ni mipasho na unafiki saiv anapambana na Kondakta pmja na stive nyerere
Kwenye swala la uvumilivu, Simba tunawajua vizuri tu. Ngoja tuwape muda.View attachment 2191709
Yeye na timu yake kina Mwakitalima mnastahili pongezi.
Kwanza umeunganisha matawi ya Simba na umeacha kujiona boss. Pia umewafanya wanazi wa Simba kina Mwakitalima, Mzee wa Pass milioni, Aggy na wengine rundo wajione unazi wao unatambuliwa na Club.
Semaji la Robo Fainali soon litakuwa semaji la Nusu Fainali Inshaalah