OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
anajisikia vibaya, soma hata mabango yakeAnastahiki pongezi kwakweli. Nimeona kuna Tawi moja la Simba kule Temeke, limepanga kumuomba namba yake ya simu ili waanze kilamtu amtumie 1,000 kama Shukrani ya upendo.
Sijui yule Zeruzeru anajisiaje!
Hater at work. Sitaacha kukukumbusha kuacha chukiAmefunga goli ngapi ???
anapambana na hali yakeAnastahiki pongezi kwakweli. Nimeona kuna Tawi moja la Simba kule Temeke, limepanga kumuomba namba yake ya simu ili waanze kilamtu amtumie 1,000 kama Shukrani ya upendo.
Sijui yule Zeruzeru anajiskiaje
muulize manara anajuaAmefunga goli ngapi ???
Mzimu wa manara unawasumbua Sana awa mbumbumbu, awawezi kutoa neno bila kumtaja manaramuulize manara anajua
ana mzimu gani huyo msukuleMz
Mzimu wa manara unawasumbua Sana awa mbumbumbu, awawezi kutoa neno bila kumtaja manara
Unakufuru bure, chuki zako utakufa nazo na manara wala hana habari na wajinga wajinga aina yako, yaani mnapambana na kivuli cha manara mtamuweza kweli?
huyu sio wakukumbushwa, ukikutana naye piga banzi la kisogo mpqka adondokee puaHater at work. Sitaacha kukukumbusha kuacha chuki