The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Imagine, CCM wanakosa usingizi kwa viti maalumu vya CDM .....!!Kwani kuna wabunge wa viti maalum Chadema bungeni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imagine, CCM wanakosa usingizi kwa viti maalumu vya CDM .....!!Kwani kuna wabunge wa viti maalum Chadema bungeni?
Ni machozi ya mamba tu hayo ili waionyeshe Dunia kuwa Chadema wanawakilishwa bungeni.Imagine, CCM wanakosa usingizi kwa viti maalumu vya CDM .....!!
Mkuu mbona safari hii mnahangaika sana na wabunge hawa wa viti maalum?? Chama chao kimeshasema hawapeleki majina sababu hata hiyo NEC kwa sasa hawaitambui kama taasisi... na wanaamini kwamba uchaguzi haukuwepo bali kulikiwa na uhuni na uporaji wa kura waziwazi!!Kauli ya Spika Ndugai kwamba wabunge watarajiwa wa upinzani wasihadaike na kutoa rushwa " isiyoeleweka" ili wapate uteuzi wa viti maalumu ni nzito kwa kweli.
Kwani hapo CHADEMA mnatumia utaratibu gani kuwateua/ kuwachagua hao wabunge watarajiwa?
Maendeleo hayana vyama!
Jamaa alikuwa na listi yake mfukoni bado hajawaona! Wabunge wa viti maalum wanawakilisha makundi maalum- leo huyu mwenye akili nusu kijiko cha kahawa anasema watawasemea CDM!!Kwani kuna wabunge wa viti maalum Chadema bungeni?