Naona chadema hawatoki mdomoni japo mnahubiri imekufa.
Hatupo tayari kupeleka wabunge wa viti maalum kwa sababu watachelewesha maendeleo ya wananchi,,,, kwanza mnyika alishasema hatushiriki huo upumbavu labda muwateue polisi wakashike hizo nafasi za viti maalamu