Kwani wabunge wa viti maalumu CHADEMA huchaguliwa kwa utaratibu gani?

Mkuu mbona safari hii mnahangaika sana na wabunge hawa wa viti maalum?? Chama chao kimeshasema hawapeleki majina sababu hata hiyo NEC kwa sasa hawaitambui kama taasisi... na wanaamini kwamba uchaguzi haukuwepo bali kulikiwa na uhuni na uporaji wa kura waziwazi!!

Mnateseka??
 
Kwani kuna wabunge wa viti maalum Chadema bungeni?
Jamaa alikuwa na listi yake mfukoni bado hajawaona! Wabunge wa viti maalum wanawakilisha makundi maalum- leo huyu mwenye akili nusu kijiko cha kahawa anasema watawasemea CDM!!
 
Naona chadema hawatoki mdomoni japo mnahubiri imekufa.

Hatupo tayari kupeleka wabunge wa viti maalum kwa sababu watachelewesha maendeleo ya wananchi,,,, kwanza mnyika alishasema hatushiriki huo upumbavu labda muwateue polisi wakashike hizo nafasi za viti maalamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…