The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Hivi jpm ni nani nchi ifuate aliyokuwa anataka yeye jpm alifanya yake mwacheni mama afanye jpm jpm mnatuchosha na jpm wenu huyo si mmufuate huko aliko.Kwa hili la umwagiliaji mama amekwenda kinyume na dhamira ya jpm ya kuinua kilimo cha umwagiliaji
Yule katili hata usimtaje unachafua hali ya hewa.Kwa hili la umwagiliaji mama amekwenda kinyume na dhamira ya jpm ya kuinua kilimo cha umwagiliaji
Natambua kuna mabaya na mazuri ya jpm. Katika mazuri hili ni mojawapo kama wewe ni mkulima wa umwagiliaji utakuwa umenielewa, kipindi cha nyuma ilikuwa unakutana na vikwazo lukuki kupata kibali wakati bodi ipo wizara ya maji.Hivi jpm ni nani nchi ifuate aliyokuwa anataka yeye jpm alifanya yake mwacheni mama afanye jpm jpm mnatuchosha na jpm wenu huyo si mmufuate huko aliko.
Waziri wa pesa ni mwigulu unategemea nini hapoBajeti ya awamu hii ni majanga tu mwanzo mwisho! Ni tozo tu kwa kwenda mbele! Tozo kwenye mafuta! Sijui Tozo kwenye line za simu! Tozo kwenye miamala! Tozo! Tozo!!