kwanin bodi ya mikopo?

mbugi2013

Member
Joined
Aug 17, 2013
Posts
39
Reaction score
4
sijajua kwanini bodi ya mikopo wanachelewa kutoa majina kila mwaka na kusababisha wanachuo kutaabika vyuon,,,!
 
Transactions za pesa zinahitaji umakini sana,so maandalizi yake ni lazma yachukue muda mrefu...:::maoni:::
 
uhakiki wa taarifa nao unahitaji umakini mkubwa hivyo inachukua mda mrefu,bodi wanajitahidi sana.
 
Umakin bongo,,,,,akuna kitu,,,hawa jamaaaaaaaaaaaaa,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…