kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Mbona we ni andunje na tunakuheshimu?Sasa mkuu,unategemea watu mtaani wakuite Andunje,Madenge au Emoro halafu uheshimike kweli?
Sasa mkuu,unategemea watu mtaani wakuite Andunje,Madenge au Emoro halafu uheshimike kweli?
Kama ni mnene na hueshimiki wanakuita bonge.... Sis kitaa mtu mwenye mwili na pesa ndio bigKuna hawa watu ambao wanaitwa jina la utani "BIG" huwa kuna kaheshima fulani wanakuwa nako kwenye jamii.
Mfano nimepita mitaa fulani ya survey hapo karibu na Mlimani City, kuna jamaa fulani wanamuita BIG machapati. inasemekana huyu jamaa ndiye bingwa wa kutengeneza chapati tamu jiji zima la Dar es salaam.
Je hili jina la BIG kibongo bongo linaendana na kuheshimika kwenye jamii husika?
Mawazo ya madali bana
Sio kosa mwambie apunguze kushinda kwebye poll table na vijiwe vya madalaliAkili yako inawaza vitu vidogo vidogo sana na visivyo na maana mkuu.
Kuna hawa watu ambao wanaitwa jina la utani "BIG" huwa kuna kaheshima fulani wanakuwa nako kwenye jamii.
Mfano nimepita mitaa fulani ya survey hapo karibu na Mlimani City, kuna jamaa fulani wanamuita BIG machapati. inasemekana huyu jamaa ndiye bingwa wa kutengeneza chapati tamu jiji zima la Dar es salaam.
Je hili jina la BIG kibongo bongo linaendana na kuheshimika kwenye jamii husika?