GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nasubiria hizo sababu kwani hata Mimi GENTAMYCINE najiandaa kuwa Rais nchi moja hivyo sitaki Niwaudhi Wananchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi ngoja nami pia niungane noo katika Kufurahia Kwao huko.Wanasema alikuwa na kaukatili fulani hivi. Amewafunga wanaharakati wengi na ni mhafidhina
Nasikia alikuwa ana Mafunzo ya Kimedani yanayokaribia yale ya Special Force ( Commando ) sijui ni kweli au ni Fix tu.Kiongozi unajipa jina la utani butcher(muuaji) unategemea hicho kijembe cha kikatili kitawafurahisha wastaarabu?
"The butcher of Tehran"Nasubiria hizo sababu kwani hata Mimi GENTAMYCINE najiandaa kuwa Rais nchi moja hivyo sitaki Niwaudhi Wananchi.
Helicopter nayo 'Imembucha' tena sehemu nzuri sana isiyoweza hata kusababisha Mtu / Watu waje kutoa Msaada Kwake."The butcher of Tehran"
Very soon.Bodo kuangushwa kwa utaeala wa ki Ayaytola
Eti 50%,kwa takwimu zipi?Acheni kutumimia madola ajnabi ya Magharibi na vyombo vyao vya habari.Nasubiria hizo sababu kwani hata Mimi GENTAMYCINE najiandaa kuwa Rais nchi moja hivyo sitaki Niwaudhi Wananchi.
Nilikuwa Tehran jana.Hiyo 50% wewe umeijuaje?
we unategemea shareholders wa ANGLO PERSIA OIL COMPANY na ndugu wa Mohammad Reza Pahlav walie?Nilikuwa Tehran jana.