Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Mtu yeyote asiyejali afya ( lishe Bora, mazoezi na utulivu kifikra ) hupelekea matatizo kiafya na magonjwa.
Jamani ukifika umri wa miaka 30s jidhatiti kujali afya na kuacha tabia zinahatarisha afya Yako
1. Punguza unywaji pombe
2. Fanya mazoezi
3. Zingatia lishe Bora
4. Epuka stress
5. Jishughulishe na kazi nyepesi
Jamani ukifika umri wa miaka 30s jidhatiti kujali afya na kuacha tabia zinahatarisha afya Yako
1. Punguza unywaji pombe
2. Fanya mazoezi
3. Zingatia lishe Bora
4. Epuka stress
5. Jishughulishe na kazi nyepesi