Kwanini 90% ya Mabao ya Mbwana Samatta ni Tap-Ins.?

Kama idadi ya magoli ndio kigezo...basi Msuva angekuwa Yanga SC mpaka sasa....na Bocco angekuwa anakipiga Zamaleck ...
 
Yapo magoli ambayo samatta anafunga akiwa amepunguza beki au ana drible umbali mrefu....je unawajua mastriker wanaoitwa fox in the box ambao wanatafutwa ulaya sahivi kwani toka wastaafu wakina Philip inzaghi na Rud van, siku hizi hawapo hao.

Wewe jamaa ni waajabu sana!

Nestorooy na mwenzake Phili kwa namna walivyokuwa waviziaji mpaka kero...

Katika Career yao wana offside call nyingi kuliko idadi ya mabao kwenye kipind chak chote.
 
Wewe jamaa ni waajabu sana!

Nestorooy na mwenzake Phili kwa namna walivyokuwa waviziaji mpaka kero...

Katika Career yao wana offside call nyingi kuliko idadi ya mabao kwenye kipind chak chote.
But at least walikuwa wanaweza kupunguza...But sio kwa Mmakonde wetu.
 
Hivi Lukaku huwa anapiga vyenga na kudribble pale Manchester?

Mleta mada anaweza kuwa na chuki binafsi na golden boy Samagoal.
Lakuka usimfananishe na Samatta.

Ana uwezo wa kupunguza...
 
Yapo magoli ambayo samatta anafunga akiwa amepunguza beki au ana drible umbali mrefu....je unawajua mastriker wanaoitwa fox in the box ambao wanatafutwa ulaya sahivi kwani toka wastaafu wakina Philip inzaghi na Rud van, siku hizi hawapo hao.
Mkuu Ruud Van Nistelrooy alikua mshambuaji wa aina gani?Chicharito?John Dahl Thomason? Ukipata majibu ya haya jiulize na wao ni wazee wa tap in goals or what??
Soka la sasa limebadilika sana .....Thats why watu kama hao hawawezi kudumu kwenye soka la sasa Ulimwenguni....

Nitajie mshambulizi wa sasa mwenye kaliba ya Samatta kwenye Ligi kubwa .....
 
Kama idadi ya magoli ndio kigezo...basi Msuva angekuwa Yanga SC mpaka sasa....na Bocco angekuwa anakipoga Zamaleck ...
Nimegundua watanzania wengi mpira hawajui kinachowasaidia ni TV na hz betting ,betting zinawasaidia kufuatilia matokeo na si mchezo wenyewe
 
Aisee huyu naye ni mwanaume ameandika hivi
 
Wewe jamaa ni waajabu sana!

Nestorooy na mwenzake Phili kwa namna walivyokuwa waviziaji mpaka kero...

Katika Career yao wana offside call nyingi kuliko idadi ya mabao kwenye kipind chak chote.
Ila mpaka leo ni mashujaa Manchester United na Ac Milan licha ya offside zao laki moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…