Kwanini 95% ya Waumini viherere Ibadani Makanisani ndiyo wanaoongoza kwa kuwa na Sifa za Uchawi mitaani Kwao wanapoishi?

Kwanini 95% ya Waumini viherere Ibadani Makanisani ndiyo wanaoongoza kwa kuwa na Sifa za Uchawi mitaani Kwao wanapoishi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na wakiwa Ibadani Makanisani ndiyo hupenda kukusanya Sadaka na kufanya kila aina ya Shughuli za Ibadani hata kama zingine haziwahusu.

Hupenda pia kuwa wa Kwanza kupokea Sakramenti ya Bwana na Nyimbo mbalimbali zikiwa zinaimbwa hupenda Kuimba kwa Sauti za Juu kuliko Sisi Waumini wengine (hadi zingine Zinaboa) na hupenda hasa kuwa / kukaa Siti za mbele mbele.

Asante Mungu Baba kwa Ibada Kuu ya Leo.
 
Watakua wanasingiziwa tu , na huko lazima itakua ni vijijini na hakuna mwanga wa mwamko wa maendeleo.

Japo dini inatumiwa na wanafki kwa sababu hata Africa ilikuja kinafki kama kitangulizi cha ukoloni.
 
Kwasababu wanaamini Mungu anawapenda wao kuliko wengine.

Ni kama yule mwanafunzi aliye karibu sana na mwalimu, huwa anasumbua wenzake.
 
Sawa mkuu hongera leo umehudhuria ibadani.
 
Na wakiwa Ibadani Makanisani ndiyo hupenda kukusanya Sadaka na kufanya kila aina ya Shughuli za Ibadani hata kama zingine haziwahusu.

Hupenda pia kuwa wa Kwanza kupokea Sakramenti ya Bwana na Nyimbo mbalimbali zikiwa zinaimbwa hupenda Kuimba kwa Sauti za Juu kuliko Sisi Waumini wengine (hadi zingine Zinaboa) na hupenda hasa kuwa / kukaa Siti za mbele mbele.

Asante Mungu Baba kwa Ibada Kuu ya Leo.
WAPUMBAVU BADO WANA ANGAIKA NA UPUUZI WA KUABUDU MAKANISANI ....HIVI WAPUMBAVU WAAMBIWE KITU GANI HILI WATAMBUE KUWA KANISA SIYO NYUMBA YA IBADA .....AU NITOE ELIMU KANISA NI NINI ? kwa kifupi hapo kale kanisa lilikuwepo ila alikuwa nyumba ya IBADA....baada ya muda SHETANI na JESHI LAKE NDIYO AKALIFANYA KANISA KUWA NYUMBA YA IBADA NA KUANZISHWA MADHEHEBU...ukimuuliza mkristo yoyote kwa nini kama kanisa ni nyumba ya ibada takatifu watu wanaingia na viatu ndani ..? Wote watashindwa kukupa jibu la kueleweka kwa sababu tangia kale kanisa lilikuwepo na watu walingia na viatu ila alikuwa nyumba ya ibada ...hadi shetani alipo badili kanisa na kulifanya nyumba ya ibada ndipo mwendelezo wa kuingia na viatu na kuto kutawaza ukaendelea na mengineyo ...

CHIMBUKO LA KANISA JENGO LILITOKEA WAPI..
Ni pale ambapo Yesu aliwaambia wafuasi wake wasiache kukutanika hivyo walikutanika sehemu mbalimbali wakifundishana injili na mojawapo ya hizo sehemu ni kwenye majengo au nyumba za watu binafsi humo waliingia na viatu tena bila ya kutawaza kwa sababu hazikuwa nyumba za ibada bali nyumba za kukutania kufundishana injili ....Nyumba hizo zikaitwa kanisa ...sasa hapa tunaona kwa nini ibada ya sasa kwenye makanisa mnayo dai ni nyumba za ibada hakunq kutawaza wala kuvua viatu nk ni tofauti na yesu alivyo fanya kwenye nyumba za ibada za wakati wake alipo kuwa duniani...yesu alitawaza ...yesu alivua viatu na kufanya ibada ipasavyo kwa sababu yesu alikwenda kwenye nyumba za ibada za kweli .....hapo sasa mtakuwa mmejua kwanini MAKANISA YAPO YALIVYO SASA YANAITWA NYUMBA ZA IBADA ILA WATU WANA INGIA BILA YA KUTAWAZA WALA KUVUA VIATU ....SHETANI NDIYO KALIBADILI KANISA KUWA NYUMBA YA IBADA KUTOKA KANISA KUWA NYUMBA YA WAKRISTO KUKUTANIA TU NA KUFUNDISHANA INJILI ...hivyo kanisa la kale lilikuwa sahihi kuto kutawaza wala kuvua viatu muwapo ndani . Waislamu nao ushangaa ..huu ukristo mbona ni tofauti na Yesu mwenyewe alivyo kuwa sasa nawaita mje kujifunza injili ya kweli muelewe chimbuko la haya mnayo yaona ya ajabu kuhusu dini zenu na mnabaki kushanga FaizaFoxy Bwana Utam shekh mandazi adriz nk Rabbon
 
Back
Top Bottom