GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]hahaaaah wazee wa viporo, chips yai, karanga za kuchemsha, korosho, balimi akipumua ktk usafiri wa umma ni kama imepulizwa sumu ya sarin
Hahahahaha watoto wa mjini bwana!Iliwahi tokea pande Za buguruni rozana..sasa jamaa mmoja c akaanza lalamika...basi akatokea MWINGINE na kumwambia Yule jamaa eti ye NDO ameachia ila kaamua kuzuga....weeeeee!!! Palichafuka