Kwanini abiria akijamba ndani ya ' Daladala ' huwa tunaogopana kuulizana aliyetutesa hivyo?

hahaaaah wazee wa viporo, chips yai, karanga za kuchemsha, korosho, balimi akipumua ktk usafiri wa umma ni kama imepulizwa sumu ya sarin
 
hahaaaah wazee wa viporo, chips yai, karanga za kuchemsha, korosho, balimi akipumua ktk usafiri wa umma ni kama imepulizwa sumu ya sarin
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Neno jepesi pale ni kupumua,na hii hasa ukute umekula mayai ya kuchemsha,ukachanganya na mbaazi na sambusa za nyama plus ndizi za kuiva...
 
Iliwahi tokea pande Za buguruni rozana..sasa jamaa mmoja c akaanza lalamika...basi akatokea MWINGINE na kumwambia Yule jamaa eti ye NDO ameachia ila kaamua kuzuga....weeeeee!!! Palichafuka
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji617]
 
Iliwahi tokea pande Za buguruni rozana..sasa jamaa mmoja c akaanza lalamika...basi akatokea MWINGINE na kumwambia Yule jamaa eti ye NDO ameachia ila kaamua kuzuga....weeeeee!!! Palichafuka
Hahahahaha watoto wa mjini bwana!
 
[emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mara nyingi wanamsingizia konda
 
Yule jamaa mmoja anasema tunusaneeeee.....weeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…