Wami kuna lori lilipiga mbizi pale juzi mamba wakafanya yao.
Pale kwa dereva mzoefu wa njia hakuna changamoto sana. Kikubwa ni ku-control speed. Na miguu ya gari iwe vizuri.
Ni yeyeMwandiko na maswali yako yamekaa ki Genta, Genta vipi unaundugu na huyo popoma?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nasubiria michambo kutoka kwakwe.Ni yeye
Sasa hivi atakuja na povu la kilo 3, tujiandae tu kumtia motoPopoma kivingine
Sir nimekuja kuwatia hasira mtafute hela muache kupanda mabasi.Wewe Tajiri unafanya nini nasi Masikini hapa Ndugu?
Nimecheka sana, siai wasafiri kweli tukifika hayo maeneo hata sala zitaombwa, kumkumbuka muumba wako wakati wa hatari tu ni hatari zaidi, unakua kama unaleta matani kwa muumba wako, Jengeni tamaduni za kumuomba Mungu nyakati zote.Na kama haitoshi kuna Abiria wengine mkiwa mnayakaribia tu hayo Maeneo tajwa Mawili Maandiko ya Vitabu vya Dini vya Biblia Takatifu na Quran Tukufu huwa wanayakumbuka na pia wanajua mno Kuyadadavua kwa mapana yake.
Na kinachonishangaza sana mkiyapita tu hayo Maeneo utaona Abiria wote ndani ya Mabasi Nyuso zao zinaanza kurejea katika Ujeuri ule wa Mwanadamu halisi.
We kweli msafiriKuna maeneo yakuhofia sio Wami.
Kuna mlima Nyang'oro njia ya Iringa-Dodoma, mlima Ndororo njia ya kwenda Mahenge.
Milima na kona za Lukumburu njia ya Songea na njia ya kwenda Mgeta ukitoka Mlali kuna Mlima mkali umewekwa zege.
Hivi mamba pale wami wanafanta nini au nikivutio, watolewe pale harakaJuzi kuna Lori limezama hapo na inavyosemekana ( sijathibitisha ) ni kwamba Miili ya Dereva na Utingo imeshaishia ndani ya Midomo ya Mamba.
Ulanduke ni kuongeza speed ama kuchizika? Na wewe umeamini, mwambie akawadanganye nurseryKuna Dereva Mmoja wa Malori ya Congo DR, Malawi na Zambia anasema ukitaka uyapite vyema bila Hofu hayo Maeneo lazima Ulanduke vilivyo.
Una uhuru wa kufikiri chochote SirNina uhakika kama Jamvini Members tungekuwa tuna uwezo wa Kujuana unaweza kukuta wale Wanaojiona Matajiri kumbe ndiyo Masikini sana tu.