kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kuna usummbufu mkubwa na hasara kubwa sana kwa vyombo vya habari na hata kwa Kodi ya serikali Kama chombo Cha habari (redio, tv, gazeti) kitafungiwa japo kwa wiki moja tu.
Kwanini makosa yanayosababisha kituo kufungiwa kwa wiki moja isiwe kulipa hela badala ya kukifungia?.
Kufungia chombo kunasababisha usumbufu kwa watu wasiohusika Kama vile matangazo ya biashara, wasikilizaji na wafanyakazi wanaoishi kwa kutafuta habari kila siku.
Kodi ya serikali pia inapotea kutoka kwenye Makato ya Mapato mbalimbali yakiyositishwa kutokana na kusimamishwa kwa chombo Cha habari.
Kwanini makosa yanayosababisha kituo kufungiwa kwa wiki moja isiwe kulipa hela badala ya kukifungia?.
Kufungia chombo kunasababisha usumbufu kwa watu wasiohusika Kama vile matangazo ya biashara, wasikilizaji na wafanyakazi wanaoishi kwa kutafuta habari kila siku.
Kodi ya serikali pia inapotea kutoka kwenye Makato ya Mapato mbalimbali yakiyositishwa kutokana na kusimamishwa kwa chombo Cha habari.