Kwanini Ahmed ally asiombe nauli CHADEMA, kwenda Misri

Kwanini Ahmed ally asiombe nauli CHADEMA, kwenda Misri

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Baada ya Club ya Simba kukasirishwa na kitendo Cha Serikali kuridhia Ombi la club ya Yanga la Kusafirisha Mashabiki wake 48 kwenda Pretoria Africa ya Kusini Kwa ajili ya mechi ya pili ya marudiano, Sasa imemtuma Msemaji wake Ahmed Ally kujitokeza Hadharani na kuikashifu waziwazi Serikali ya Chama Cha Mapinduzi iliyo chini ya mama Samia.

Msemaji huyo amedai Serikali ya mama Samia imefanya jambo baya kulipia mashabiki na kwamba hata watu hao waliolipiwa na Serikali ni Machawa na Mashabiki, Kwa tafsiri yake ni kuwa Simba wao wameamua kutumia pesa zao na sio kufuja Kodi za serikali.

Ahmed ally ameenda mbali na Kusema, Ali kibao, Mwakinyo, nao wataomba washabiki zao nai wasafirishwe.

Ikumbukwe Yanga na Sio Simba ndo ilituma maombi serikalini ya kuhitaji msaada huo.

Kwa Kauli za Ahmed Ally ni wazi anaonekana anataka kuipeleka Simba kuomba pesa Kwa chadema kwani anatengeneza picha kuwa CCM ni wabaguzi.

Namsihi Ahmed Ally aombe radhi Serikali na Mashabiki wa Yanga
 
We dada, hujamsikia Msemaji wa serikali akikiri kuwa Simba nao walipeleka ombi kama hilo isipokuwa ombi la Simba lilikuwa na madai mengi?

Kama serikali inakiri hivyo, kwanini wasingewapatia Simba chochote badala ya kuwakaushia kabisa? Huu ni upendeleo wa wazi.
 
Baada ya Club ya Simba kukasirishwa na kitendo Cha Serikali kuridhia Ombi la club ya Yanga la Kusafirisha Mashabiki wake 48 kwenda Pretoria Africa ya Kusini Kwa ajili ya mechi ya pili ya marudiano, Sasa imemtuma Msemaji wake Ahmed Ally kujitokeza Hadharani na kuikashifu waziwazi Serikali ya Chama Cha Mapinduzi iliyo chini ya mama Samia.

Msemaji huyo amedai Serikali ya mama Samia imefanya jambo baya kulipia mashabiki na kwamba hata watu hao waliolipiwa na Serikali ni Machawa na Mashabiki, Kwa tafsiri yake ni kuwa Simba wao wameamua kutumia pesa zao na sio kufuja Kodi za serikali.

Ahmed ally ameenda mbali na Kusema, Ali kibao, Mwakinyo, nao wataomba washabiki zao nai wasafirishwe.

Ikumbukwe Yanga na Sio Simba ndo ilituma maombi serikalini ya kuhitaji msaada huo.

Kwa Kauli za Ahmed Ally ni wazi anaonekana anataka kuipeleka Simba kuomba pesa Kwa chadema kwani anatengeneza picha kuwa CCM ni wabaguzi.

Namsihi Ahmed Ally aombe radhi Serikali na Mashabiki wa Yanga
Ahmed ally hana busara
 
Na wewe mtoa hoja hii unajionesha kiwango cha upumbavu ulichokua nacho,serikali ya ccm zile pesa ni za walipa kodi wa nchi hii,hazitoki pale Lumumba street na upumbavu wako unakufanya kila kitu ukihusishe na siasa za maji taka
 
Wakati mwingine ni heri kukaa kimya kuficha upumbavu wako, mbona hujawaambia Chadema wakusanye Kodi?
 
Huyo anatafuta kibano... Mdomo uliponza pua...... Acha aendelee kubana ous km Bi zuena.
 
We dada, hujamsikia Msemaji wa serikali akikiri kuwa Simba nao walipeleka ombi kama hilo isipokuwa ombi la Simba lilikuwa na madai mengi?

Kama serikali inakiri hivyo, kwanini wasingewapatia Simba chochote badala ya kuwakaushia kabisa? Huu ni upendeleo wa wa
Ahmed ally
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
Baada ya Club ya Simba kukasirishwa na kitendo Cha Serikali kuridhia Ombi la club ya Yanga la Kusafirisha Mashabiki wake 48 kwenda Pretoria Africa ya Kusini Kwa ajili ya mechi ya pili ya marudiano, Sasa imemtuma Msemaji wake Ahmed Ally kujitokeza Hadharani na kuikashifu waziwazi Serikali ya Chama Cha Mapinduzi iliyo chini ya mama Samia.

Msemaji huyo amedai Serikali ya mama Samia imefanya jambo baya kulipia mashabiki na kwamba hata watu hao waliolipiwa na Serikali ni Machawa na Mashabiki, Kwa tafsiri yake ni kuwa Simba wao wameamua kutumia pesa zao na sio kufuja Kodi za serikali.

Ahmed ally ameenda mbali na Kusema, Ali kibao, Mwakinyo, nao wataomba washabiki zao nai wasafirishwe.

Ikumbukwe Yanga na Sio Simba ndo ilituma maombi serikalini ya kuhitaji msaada huo.

Kwa Kauli za Ahmed Ally ni wazi anaonekana anataka kuipeleka Simba kuomba pesa Kwa chadema kwani anatengeneza picha kuwa CCM ni wabaguzi.

Namsihi Ahmed Ally aombe radhi Serikali na Mashabiki wa Yanga
Hapa ndipo akili zako zimeishia?
Hata kama umeolewa,unakosa japo akili ya kujisafisha utupu wako?Hadi unatoa harufu jukwaani hapa?
 
Back
Top Bottom