Aisee hata mi huwa namuona hivyo sijui kwa niniNi mimi pekee naona hafai kuwa msemaji wa club?
Sijui, naona kama hafai. Hana hamasa. Sijui ni muonekano wake wa kishamba au sauti?
What's ur views?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee hata mi huwa namuona hivyo sijui kwa niniNi mimi pekee naona hafai kuwa msemaji wa club?
Sijui, naona kama hafai. Hana hamasa. Sijui ni muonekano wake wa kishamba au sauti?
What's ur views?
sio bure, lazima kuna kitu alikufanya huko nyuma.Ni mimi pekee naona hafai kuwa msemaji wa club?
Sijui, naona kama hafai. Hana hamasa. Sijui ni muonekano wake wa kishamba au sauti?
What's ur views?
Huyo ndiye the best kwa Simba. Hatumii maneno mengi wala kufoka, lakini ujumbe wake unamsha hamasa kama hamira inavyoumua mkate. Keep it up Ahamed, usikatishwe tamaa na mashabiki wa YangaNi mimi pekee naona hafai kuwa msemaji wa club?
Sijui, naona kama hafai. Hana hamasa. Sijui ni muonekano wake wa kishamba au sauti?
What's ur views?
ile ya kusoma kazeti ndio kasi musuri said kwake ..Ni mimi pekee naona hafai kuwa msemaji wa club?
Sijui, naona kama hafai. Hana hamasa. Sijui ni muonekano wake wa kishamba au sauti?
What's ur views?
Acha ubaguzi ndugu zeruzeru hawakupenda kuzaliwa vile,jirekebishe na usipende kuropoka ukajiona unafurahisha watu kumbe unajidharirisha mwenyeweUngependa awe zeruzeru ndo awe na mwonekano wa kijanja?
Akuwowe basi furaha yako ikamilikeAlinifurahisha sana siku ya simba day pale alipoingia na ngamia, huku akiwapungia mashabiki!
Na wakati huo huo akiimba kile kibwagizo chake cha wana siiimba!! Na ile sauti yake ya kulegea, hakika ilinifurahisha sana. [emoji16]
Acha ubaguzi ndugu zeruzeru hawakupenda kuzaliwa vile,jirekebishe na usipende kuropoka ukajiona unafurahisha watu kumbe unajidharirisha mwenyewe