Kwanini AJE ilikuja?

Aje ya Ali kiba il heat ikaisha ila ile Remix ft MI ndio ameiamsha tena imfikishe mbali
 
Wasio jua wanaponda ila remix kali balaa mashoga wa madela wakimtafuta m i kwny remix wakaanza kuponda video m i hayupo waka kumbuka kumbe video ya sorry ya Justin bieber hakuonekana na ika hit waka tuliza sifuri makunjo yao chin video kali haina mambo mengi sio kutewekea magari 60 na wapiga debe Wa makumbusho kibao aje wako wawili tu *****
 
Usifananishe sorry na mambo ya kijinga
 
Kwamba unataka nini labda kwa mfano!?? Akili za kuazimwa hizi!!!!
 
Umeandika nn apo Dada angu......kokoro jiwe LA mwezi kajiandae imefia wapi na iyo aje remix ndani ya week ishakufa
Wana wake wamadela bana mnaisifu kokoro ahahahahhaha shuba mit kajiandae imekujaje kwny kokoro na kajiandae huwez kufananisha na ule upuuz hata siku moja naona mna kaugonjwa kanakoitwa ajelisim mana kame wafanya mutoe mpk visivy tolewa ila aje imebek pale pale pole ni wazee wasifa
 
Teh teh teh!..Huyu mleta uzi buana.Imagine kwa soko la muziki sasa hivi utazunguka hata tour ya afrika mashariki ukiwaimbia watu wimbo mmoja tu eti "AJE".Tuache izi mambo za team na tue wawazi mtu anapokosea.Hivi hamjui uyo kiba wenu mnamduwaza,mtaishia kusema ivo ivo wakati tasnia ya muziki inabadilika.Siku kiba ataombwa CV yake,Nyimbo inayomtambulisha kimataifa itakua moja tu!.Hamuoni kwamba kama ni opportunity atapoteza na tayari atakua na madhaifu.
 
povu sasa......nyimbo zinabuma tu mmebakiza majungu kokoro jiwe la mwezi na week ijayo richi anapewa certificate na clouds media nyie na kajiandae yenu ipo wapi wazee wa masebene
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…