Habari za chini ya kapeti!kutoka kwenye chumba cha Mh Mulugo! Zinadai kuwa wizara yake haikubakiza hata chenji! Na hizo pesa serikali ilikuwa imekopa NSSF,, mwaka huu wameenda tena NSSF,kukopa tena wakaambiwa pesa zote tumepeleka KIGAMBONI KUJENGA DARAJA! Ila msiwe na wasi Mkulu leo yuko Kwa Hollande!na kapu lake na asipopata anapita pale kisima cha pesa Chafu (USWIS)Ili awatolee fungu lake kidogo!MSKATE TAMAA SOON MTAKUWA Hewani!