ah kwa mwanamke hamnaga kuomba kwa kuongea,kama maneno unashindwa hata vitendo?!.kitendo cha kukaa kimitego tego,mara umejishka hapa mara pale,macho yamelegea huku unampapasa dushelele!! .mwenyewe ataelewa tu!
Aiseeeh!
Hahahahahaha mic ikisimama unaanza kuchana mistari sipati picha unavyokuwa......LOL
Mi siwezi naona aibu ni mpaka anianze mwenyewe
Raha ya mtetea jogoo lizungushe bawa kidogo!
kuna siku kulikuwa na game ya uefa, nikawa na nacheki sebuleni! gafla mamsap akaita kutokea chumbani "......vp hiyo mechi ngapi ngapi? nikamjibu bado bila bila, njoo mara 1 uwaonyesha jinsi ya kuscore! nilipoenda sikurudi tena sebuleni!"
hahahahaaaa wewe marufuku
Ukute jogoo kama huyu
sio uongo wala utani wanawake wengi wahanga wa hili unakuta mdada anatamani gegego ila kumwomba mumewe au mpenzi wake anaogopa anaona aibu.
me mwenyenye nilikua mhanga wa hili jambo ila kwa sasa najitosa nikitaka mzigo naomba kama kawa.
sio uongo wala utani wanawake wengi wahanga wa hili unakuta mdada anatamani gegego ila kumwomba mumewe au mpenzi wake anaogopa anaona aibu.
me mwenyenye nilikua mhanga wa hili jambo ila kwa sasa najitosa nikitaka mzigo naomba kama kawa.
unajua ukimtajaa 2 10 na himidin roho inauma japo wivu sina
hahahaaaa ulikua unataka kumuover take Himidini kwa huyu mrembo?
Ahahahaha hiyo kuomba hakunaga mwanamke inatakiwa ujue kujitegesh yy mwenyew ataingia tu kwnye 18 sy had uongee