Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
hahahahahaaaaa. acha mawazo machafu ndugu huhuuuuuuu
hapo mkuu umenena mwenyewe niliwaza hvyo hvyo je kwa wale wapo u uchumba na hawaishi sehemu moja mwanamke ataanzaje kumwomba mwanaume???
itakua huyo mume si wako!
Nahisi wewe ni Mchungaji Laudeni...!Hata biblia inasema ombeni mtapewa...
Sina mda wa kuomba vitendo ndo vitaongea
Mi siwezi naona aibu ni mpaka anianze mwenyewe
me mpnz wangu kama yuko mbal namcall 2 honey leo wah kurud mana nakuhitaji nina ny-g-
nikutafute ili iweje
mi siombi, namvuta tu anajileta kiulaini ni vitendo tu
Mkuu hapo umepata mia kwa mia,asikwambie mtu,wife akianzisha game cc wanaume tunajisikia vizuri sio kawaida.Mimi ananifahamu kabisa mshipa wa aibu niliuzika zaman tena sio kwenye makaburi ya makumbusho.
ananielewa nikitaka ooh mara moja napata namwambia tu kama hayuko kwenye mood ntamchokoza weee had mike itaamka yenyewe kinachofuata hapoo ni balaa yan inakuwa kama yeye ndio aliyeanzisha.
huhuhuhuuhuhuuuuu makubwa haya jaman looo!!!!