Kwanini akinadada hatuwezi kuomba gegedo...?

Kwanini akinadada hatuwezi kuomba gegedo...?

hapo mkuu umenena mwenyewe niliwaza hvyo hvyo je kwa wale wapo u uchumba na hawaishi sehemu moja mwanamke ataanzaje kumwomba mwanaume???

Si ndio....Huu mfumo dume unanyanyapaa jinsia KE.....na hata ukichunguza wanaoanzisha hizi kauli mbiu za baki njia kuu mchepuko sio dili ni wanaume....ili hali ukikatiza kwenye mabaa, maclub kina dada poa wanazidi kuongezeka kila kukicha....wanaongezeka vipi kama sio kuvutwa na ongezeko la wanunuaji ?

Jinsia KE wana wakati mgumu, na kama hana mvuto/mkao wa kutongozeka kirahisi ndio kabisa hana kwa kupatia huduma hiyo pale anapoihitaji (anapokuwa on fire)....
 
Sina mda wa kuomba vitendo ndo vitaongea

Teheeee hii nimeipenda. Ila wengine tuliojipindia huwa tuna text kabisaa mapema kusema oyaaa leo usirudi umechoka kuna gemu inakusubiri... kama vipi wahi home usipoteze muda!
 
Mi siwezi naona aibu ni mpaka anianze mwenyewe

Ukiendelea na tabia hiyo utaibiwa dada. Wanaume tulio wengi huwa tunapenda kuchokozwa. Ukingojea kuanzwa ujue kwamba wenzako wanangoja wakutane nae wamuanze...
 
me mpnz wangu kama yuko mbal namcall 2 honey leo wah kurud mana nakuhitaji nina ny-g-

0713plus....! Funguka mama. U'shawahi kusogeza nan'hii hapo kwenye t.i.g.o? Kama bado basi bado huna stori ya kutupa, kajipange tena upya. Wanaoweza wako kimya dia...
 
0713plus....! Funguka mama. U'shawahi kusogeza nan'hii hapo kwenye t.i.g.o? Kama bado basi bado huna stori ya kutupa, kajipange tena upya. Wanaoweza wako kimya dia...

nonono
 
si lazima unitamkie kua waomba gegedo. You can use body language asee ina work mno kuliko maelezo.

bora muwe mnaishi wote kama mko mbalimbal utatumiaje body language
 
a.rahabu sikurudi hata! sikukumbuka nilichokuwa nafanya seebuleni, ila nilikuja kusoma LIVESCORE kwa cm yangu Man U kapigwa na Bayern!

pole sana
 
Mimi huwa sirembi kabisa.kila siku lazima. Niwe hewani..labda kama nipo safar..mamsup anajua..naweza kulala usingiz mpaka saa saba yaan nikistuka tuu..mama nonihino..anajua hapa tayr mabom yaliyotegwa ndio muda wake wa kulipuka sasa..vipo vitu vya kuzuga lakin sio papuch uwiiii..ngoja nipande hewan kwanza..saa nane hii
 
Mimi ananifahamu kabisa mshipa wa aibu niliuzika zaman tena sio kwenye makaburi ya makumbusho.

ananielewa nikitaka ooh mara moja napata namwambia tu kama hayuko kwenye mood ntamchokoza weee had mike itaamka yenyewe kinachofuata hapoo ni balaa yan inakuwa kama yeye ndio aliyeanzisha.

huhuhuhuuhuhuuuuu makubwa haya jaman looo!!!!
Mkuu hapo umepata mia kwa mia,asikwambie mtu,wife akianzisha game cc wanaume tunajisikia vizuri sio kawaida.
 
Back
Top Bottom