Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndicho simba itakifanya kwa Banda kumboresha kwahiyo ondoa wasiwasi atakuwa tu kama miqhakuwa mzuri kama sasa hivi, simba ilimboresha
Jibu zuri sanaSasa ndicho simba itakifanya kwa Banda kumboresha kwahiyo ondoa wasiwasi atakuwa tu kama miq
Kwa vyovyote vile kuondoka kwa Moquissone na Chama kumeiumiza Simba, no doubt.
Miquissone alikuwepo na Banda alikuwepo lakini mmoja kaenda Al-Ahly na mwingine kaja Simba. Tusidanganyane, Banda sio Miquissone hata kwa robo. Tukaze buti
Swali zuri sana sijui huyo kibana mavi kama ataweza kukujibuKwani kipindi Simba haijamchukua Luiz Al Ahly walikuwa wapi?
Kisinda ni bora kuliko Jesus, no doubt about it. Hakuna aliyesema Jesus no bora kuliko TK. Banda sio Bora kuliko konde boy, Simba imeumia.kwani imekuwaje ibenge amchukue kisinda badala la moloko wakati moloko ni mkali zaidi ya kisinda ahahahah
Ibenge anawqfahamu, TK ni bora kuliko Jesus', hivyohivyo Konde boy ni bora kuliko Banda. Tofauti ni kwamba TK hakuisaidia Yanga sana kama Konde boy alivyoisaidia Simbakwani imekuwaje ibenge amchukue kisinda badala la moloko wakati moloko ni mkali zaidi ya kisinda ahahahah
Luis ni mwanaume hiki kibwabwa akiwezi ile mikwanja aliyokua anapigwa luis,ligi yetu ina mabeki wakatili sana,kiukweli mikia msubiri maumivu tu,konde mmepoteza mtu paleSasa ndicho simba itakifanya kwa Banda kumboresha kwahiyo ondoa wasiwasi atakuwa tu kama miq
Miquissone na Chama kuondoka kwa wakati mmoja sio jambo dogo. Zaidi ya robo tatu kama sio theluthi mbili ya magoli ya Simba yamechangiwa na hawa wanaume 2Luis ni mwanaume hiki kibwabwa akiwezi ile mikwanja aliyokua anapigwa luis,ligi yetu ina mabeki wakatili sana,kiukweli mikia msubiri maumivu tu,konde mmepoteza mtu pale
View attachment 1891404
Sasa kama kuhimili kuhimili mikwanja ndio ubora wa mchezajii hao wakina Chama wangechukuaje uMVP mbele ya watu wagumu kama wakina Duma na Ninja ambao kwa kuhimili mikwanja wanamuacha mbaaali Chama CletusLuis ni mwanaume hiki kibwabwa akiwezi ile mikwanja aliyokua anapigwa luis,ligi yetu ina mabeki wakatili sana,kiukweli mikia msubiri maumivu tu,konde mmepoteza mtu pale
View attachment 1891404
Inaweza ikawa biashara ya kanisa or simply a monkey business.Mpira ni biashara, na wachezaji ndo bidhaa zenyewe